Special Romantic Moments......

Special Romantic Moments......

HITIMISHO!

Kwanza kabisa ninaomba kuwashukuru wooote mliochangia hii thread na kushare nami experiences zenu za Special Romantic Moments. Shukrani za pekee zimwendee Mheshimiwa Mbu kwa kufanya jitihada za ziada kutuletea picha ambazo ninaamini kabisa zitatuhamasisha kuwapa wenzi wetu some special romantic moments once in a while. Kwa wote ninawapa BIG UP and a very HUUUUUGE Hug as a way of appreciating.

Kwa kifupi picha niliyoipata hapa ni kuwa wote hapa ambao tumeshawahi kuwa na mahusiano katika maisha yetu tulishapatiwa/patia wenzi wetu hizi SRMs na tukaenjoy vya kutosha na wapo ambao mpaka leo tukijaribu kuzivuta hisia na kumbukumu zetu tutajikuta tunatabasamu kwa furaha wengine hujikuta tunasisimkwa kabisa na vinyweleo kusimama ati. So ni wazi kuwa relationship yoyote hata kama iliisha, iko katika machungu kwa wakati huu bado kuna that bright spot kwenye hilo wingu jeusi. Hata shetani naye huwa kuna siku anajisahau na kuwa malaika wajameni sema tu tunapokumbwa na maumivu, maudhi na kero huwa tunayasahau mema, mazuri yooote tuliyowahikufanyiwa na huyu muhusika.

Ninamshukuru MTM kwa kuchomekea kipengele cha Communication ambacho kwa bahati mbaya hatukupata nafasi kukichambua vizuri lakini kipengele hiki ndicho kiini kikubwa katika kufikisha jumbe zetu kwa wenzi wetu. Wengi tunashindwa ku'zungumza' kuonyesha jinsi tunavyoappreciate pale tunapofanywa watu muhimu (special) kwenye maisha ya wenzi wetu. MWJ1 hapa nimeuliza kiutani jinsi ya kushukuru lakini kiukweli huwa ninapatwa na 'kigugumizi' cha ukubwa sijui kabisa kuappreciate and that is my weakness to tell the truth and kama MTM alivyosema sometimes hadi nabore maana kama ni 'Thanx darling' ntairudia hadi naonaga aibu!

Failure to communicate your feelings kwa mwenzi wako ambaye anapaswa kuwa rafiki yako huchangia mara nyingi kwa mahusiano kuzorota na mwisho kufa na aither kuwafanya wapendanao waachane au waishi maisha ya 'mazoea'. Imagine kama MWJ1 nashindwa kuappreciate kwa kilicho kizuri je nitaweza kweli kuzielezea hisia zangu nikaeleweka kama nimekwazika/boreka au amenihurt?? (Kwa hili ninaomba msaada, kama kuna mtu anayefundisha twisheni ya hili somo tafadhani aniPM aniokoe).

Kitu kingine ambacho nimekinote kwenye trhread hii ni kuwa watoaji wengi wa SRM ni wanaume!! wanawake wengi tu wapokeaji tu (Unless tuhesabu na zile za 'faragha' ambazo nadhani hata wanaume watahusika). Wengi wetu kina dada tumekuwa (kutokana na jinsi tulivyochangia humu) tukisubiri kupewa!. Jamani tuamke, spice up your relationships, siku moja moja mtoe 'Rais wa Dunia yako" mpeleke mafichoni, ambako utamrusha ujisikiavyo. Ndio usawa wenyewe huo (Tatizo walioenda Beijing mwaka ule waliwasahau kina Bi Chau otherwise hii ingewekwa agenda ya kwanza kabisa LOL). Tusidai usawa wetu kwenye elimu, uchumi, kazi, siasa peke yake tukaisahau sekta hii ambayo ndiyo sekta mama kwa maisha yetu - matajiri, wasomi, wachumi, wanasiasa wote wanatokana na sekta hii, wanakuzwa hapa na wanarelease stresses zao hapa kwa hivyo tusiisahau jamani hata kama ni sekta isiyo rasmi!!

Mwisho ninapenda kuwashukuru wale woooote mnaowatakia mema Mbu na MWJ1 lol. I wish wishes zenu zingewezekanika. But msikate tamaa tuombeeni huku tulikoshikwa tuachiwe hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa

Ninawapenda wote. Mbarikiwe sana.
Msisahau kuwashukuru wapenzi wenu pale mnapopewa Special Romantic Moments jamani.

This Thread has been CLOSED at 6:50 PM (Kwa majira ya saa ya Tanzania).
 
sikumbuki lini uli close thread..

au ndo dua zetu tulizowaombea zifike haraka kwa mungu? lol

Sasa mkiendelea jamani si faili litachelewa kufungwa na muda wa kuzifanyia kazi utazidi kuwa prolonged??
The Boss, thanx Bro.

Hivi nimeshaCLOSE hii thread eh?!
 
Sasa mkiendelea jamani si faili litachelewa kufungwa na muda wa kuzifanyia kazi utazidi kuwa prolonged??
The Boss, thanx Bro.

Hivi nimeshaCLOSE hii thread eh?!

sasa nimeamini hiyo getaway ilikuwa bab kubwa
maana unaandika na huji umeandika nini lol
hebu tazama mstari wa mwisho wa hitimisho lako..lol
 
Sisi kule kwetu kwa akina Mwita, Chacha, Marwa, Wambura nk, huwa tunaonyesha appreciation kwa KUWADUNDA. Tusipofanya hivyo malalamishi kwa wakwe kwamba hawapendwi ni kila siku.
 
HITIMISHO!

Kwanza kabisa ninaomba kuwashukuru wooote mliochangia hii thread na kushare nami experiences zenu za Special Romantic Moments. Shukrani za pekee zimwendee Mheshimiwa Mbu kwa kufanya jitihada za ziada kutuletea picha ambazo ninaamini kabisa zitatuhamasisha kuwapa wenzi wetu some special romantic moments once in a while. Kwa wote ninawapa BIG UP and a very HUUUUUGE Hug as a way of appreciating.

Kwa kifupi picha niliyoipata hapa ni kuwa wote hapa ambao tumeshawahi kuwa na mahusiano katika maisha yetu tulishapatiwa/patia wenzi wetu hizi SRMs na tukaenjoy vya kutosha na wapo ambao mpaka leo tukijaribu kuzivuta hisia na kumbukumu zetu tutajikuta tunatabasamu kwa furaha wengine hujikuta tunasisimkwa kabisa na vinyweleo kusimama ati. So ni wazi kuwa relationship yoyote hata kama iliisha, iko katika machungu kwa wakati huu bado kuna that bright spot kwenye hilo wingu jeusi. Hata shetani naye huwa kuna siku anajisahau na kuwa malaika wajameni sema tu tunapokumbwa na maumivu, maudhi na kero huwa tunayasahau mema, mazuri yooote tuliyowahikufanyiwa na huyu muhusika.

Ninamshukuru MTM kwa kuchomekea kipengele cha Communication ambacho kwa bahati mbaya hatukupata nafasi kukichambua vizuri lakini kipengele hiki ndicho kiini kikubwa katika kufikisha jumbe zetu kwa wenzi wetu. Wengi tunashindwa ku'zungumza' kuonyesha jinsi tunavyoappreciate pale tunapofanywa watu muhimu (special) kwenye maisha ya wenzi wetu. MWJ1 hapa nimeuliza kiutani jinsi ya kushukuru lakini kiukweli huwa ninapatwa na 'kigugumizi' cha ukubwa sijui kabisa kuappreciate and that is my weakness to tell the truth and kama MTM alivyosema sometimes hadi nabore maana kama ni 'Thanx darling' ntairudia hadi naonaga aibu!

Failure to communicate your feelings kwa mwenzi wako ambaye anapaswa kuwa rafiki yako huchangia mara nyingi kwa mahusiano kuzorota na mwisho kufa na aither kuwafanya wapendanao waachane au waishi maisha ya 'mazoea'. Imagine kama MWJ1 nashindwa kuappreciate kwa kilicho kizuri je nitaweza kweli kuzielezea hisia zangu nikaeleweka kama nimekwazika/boreka au amenihurt?? (Kwa hili ninaomba msaada, kama kuna mtu anayefundisha twisheni ya hili somo tafadhani aniPM aniokoe).

Kitu kingine ambacho nimekinote kwenye trhread hii ni kuwa watoaji wengi wa SRM ni wanaume!! wanawake wengi tu wapokeaji tu (Unless tuhesabu na zile za 'faragha' ambazo nadhani hata wanaume watahusika). Wengi wetu kina dada tumekuwa (kutokana na jinsi tulivyochangia humu) tukisubiri kupewa!. Jamani tuamke, spice up your relationships, siku moja moja mtoe 'Rais wa Dunia yako" mpeleke mafichoni, ambako utamrusha ujisikiavyo. Ndio usawa wenyewe huo (Tatizo walioenda Beijing mwaka ule waliwasahau kina Bi Chau otherwise hii ingewekwa agenda ya kwanza kabisa LOL). Tusidai usawa wetu kwenye elimu, uchumi, kazi, siasa peke yake tukaisahau sekta hii ambayo ndiyo sekta mama kwa maisha yetu - matajiri, wasomi, wachumi, wanasiasa wote wanatokana na sekta hii, wanakuzwa hapa na wanarelease stresses zao hapa kwa hivyo tusiisahau jamani hata kama ni sekta isiyo rasmi!!

Mwisho ninapenda kuwashukuru wale woooote mnaowatakia mema Mbu na MWJ1 lol. I wish wishes zenu zingewezekanika. But msikate tamaa tuombeeni huku tulikoshikwa tuachiwe hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa

Ninawapenda wote. Mbarikiwe sana.
Msisahau kuwashukuru wapenzi wenu pale mnapopewa Special Romantic Moments jamani.

This Thread has been CLOSED at 6:50 PM (Kwa majira ya saa ya Tanzania).
I can connect the dots....Mbu na MJ1 walipotea hapa jukwaani kwa kipindi fulani, na wamerudi pamoja...MwanajamiiOne anashindwa kuelezea furaha yake aliyopewa na mwandani wake kwa siku tatu mfululizo. Ili hali Mbu analeta ushahidi wa picha wa kule alikompeleka barafu wa moyo wake.

Hebu twawaomba wafunguke! Mbu ulimpeleka MwanajamiiOne Ngorongoro?

...lol... hivi mnasoma lakini hamuelewi ee? mwanajamiione is my soulmate, case closed.
 
hahaaa tatizo miafrika mibishi kweli ukitoa swali lazima upewe swali badala ya jibu sijui kwanini hatupendi elewa.
<font size="3"><span style="font-family: book antiqua"><font color="#B22222">...lol... hivi mnasoma lakini hamuelewi ee? mwanajamiione is my<b> soulmate</b>, case closed.</font></span></font>
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...lol... hivi mnasoma lakini hamuelewi ee? mwanajamiione is my soulmate, case closed.

Wenye akili zetu za usingizi usingizi mbona tuliyaona haya mapema kabisa.....!!!!!

Mubarikiwe sana na Bwana Mungu aendelee kuwalinda ili mwende tena mbungani....Msisahau kuombea wanyama ili wasipelekwe wote huko jangwani kwa Waarabu!!
 
Wenye akili zetu za usingizi usingizi mbona tuliyaona haya mapema kabisa.....!!!!!

Mubarikiwe sana na Bwana Mungu aendelee kuwalinda ili mwende tena mbungani....Msisahau kuombea wanyama ili wasipelekwe wote huko jangwani kwa Waarabu!!

hapo red: Mimi hii sredi tangu mwanzo niliichukulia kama ya kuwapongeza MJ1 na Mbu tu, kwa masweet memories yao ya ngorongoro.

Hapo buluu: acha nikachekee kwa jirani aisee
 
Back
Top Bottom