PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hao mbuzi wametumwa na wazunguKatika hali ya kushangaza mabango ya mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm Josephat Gwajima yamevamiwa na mbuzi na kutafunwa vibaya , ikiwa ni ishara kuwa hata mbuzi wamemkataa .View attachment 1574459
Hawana, ila huo ni uthibitisho amekataliwa mbinguni na duniani, anatakiwa akatubu, kuchanganya dini na siasa ni kujitafutia laana.Kwani mbuzi wanavitambulisho vya kupigia kura?
πππMzee wa Uno Hadi jasho la upara limemtoka
Habari kamili hii hapa
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Kuna maeneo unaweza enda ukafikiri unaenda kujitwalia umaharufu, kinyume chake ukatoka na aibu.
Huyu Gwajima ajitafakari, hata wanyama mbuzi hawamtaki.
Atakuwa anajuta kufanya kampeini za nyumba kwa nyumba mara baada ya jana kukutana na mzee anayejitambua.
Kapigwa maswali hadi anajitafuna tu bila kutoa majibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gwajima ilibidi aondoke tu maana mzee kamfukuza kinyama.Mnamcheka Gwajima kwa kipande hicho cha video ambacho hakionyeshi mwisho waliishia vipi katika maongezi yao, yawezekana aliweza kumshawishi mzee na kukubaliana naye.
Hiki kipande mmenyofoa hakitoi picha halisi nini kiliendelea baina ya watu hawa wawili.