Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
Politicians are the same all over. They promise to build a bridge even where they is no river. ~Nikita Khrushchev
 
Politics is the art of looking for trouble, finding it whether it exists or not, diagnosing it incorrectly, and applying the wrong remedy. ~Ernest Benn
 
A conservative is a man who believes that nothing should be done for the first time. ~Alfred E. Wiggam
 
"itasaidia zaidi wana JF kuwekeza muda wao vizuri, kwa maana ya kujielimisha zaidi maana nina hakika hili ndio lengo kuu la wana JF"

Epitome akichangia thread ya Nducha kuolewa
 
WHEN THE KILL ONE TWICE MORE RISE BABYLON THEY GET SUPRISE' BY REGGAE SINGER Fantah Mojah..
 
THEY AINT CREATE GREAT MEN NOR BUILT GREAT MEN BUT THEY KILL GREAT MEN. BY REGGAE SINGER, Jah Cure
 
JAH PROVIDE WATER TO THE FISHES OF THE SEA AND THE BIRD OF THE AIR SO WHAT ABOUT ME?... By. 'the Zion Gate Keeper' REGGAE SINGER Joseph 'culture' Hill.
 
'I WISH TO LEAVE THE PLANT BUT YET IT'S SEEDS LIVES IN ME' BY. Swahilian.
 
The new source of power is not money in the hands of a few, but information in the hands of many
John Naisbitt
 
"Haya mawazo ni mufilisi. Yaani kati ya mwenye dhahabu na mwenye koleo wewe umeona mwenye koleo ndiye mwenye mali zaidi".

Blueray akichangia thread " serikali yasema barrick ilidanganya"
 
You can fool some people for sometime, but you can't fool all the people all the time - JK Nyerere.
 
Wise men talk because they have something to say; fools talk because they have to say something- Mwazange (JF Member)
 
In journalism, there has always been a tension between getting it first and getting it right.
- Ellen Goodman
 
Miafrika bwana kwa kuiga!, mie nilifikiri mnataka kuthamini michango ya wana JF na kuitambua tamathali za semi mbali mbali za wanachama humu ndani. Kumbe sivyo bali ku google na kuweka semi za watu mbalimbali!!!?

Haiongezi tija hii..
 
nguvu ya CCM inatokana na kuwa na madaraka ya kusimamia dola, na sidhani kama nguvu ya dola inatokana na kuwa na CCM

Mwanakijiji akichangiaTanzania Bila CCM inawezekana
 
Watambue watawala wetu kuwa uongozi walio nao ni ridhaa ya wananchi na siyo haki yao toka mbinguni! Siku yaja ambao wananchi wataondoa ridhaa hiyo

Siku hiyo yaja, na yafanya hima kufika! Wanadhania kuwa wamebarikiwa, waangalie wasijekuwa wamelaaniwa! Kwani Mungu ni Mungu wa Haki, na hapokei Rushwa!!

Mwanakijiji akichangia Tanzania bila CCM inawezekana
 
Miafrika bwana kwa kuiga!, mie nilifikiri mnataka kuthamini michango ya wana JF na kuitambua tamathali za semi mbali mbali za wanachama humu ndani. Kumbe sivyo bali ku google na kuweka semi za watu mbalimbali!!!?

Haiongezi tija hii..

Kumbe JF is home to great thinkers na pia kuna wasioweza kufikiri kwa mapana. Wewe mwenyewe ni copy! Hujui hilo? Ina tija. Think again.
 
Back
Top Bottom