Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
kwani hizo nukuu zote ni za wazungu mkuu? mbona zimo za waafrika kama Mengi, zimo za wajapani, zimo za wachina n.k

Nimezipenda maana zina ukweli unaofuatwa na wachache.
Ohhhhh
Basi mie nimeangalia mwanzo kati na mwisho nikanua hawa wazungu tu
 
Mkuu, wapi wahenga wa zamani? mambo ya:

ndondondo si chururu

ngaagaa na upwa ali wali mkavu

kila mtoto ana riziki yake

Hawa wahenga wetu wahawakuwa wamejipanga?
 
Back
Top Bottom