Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Hahahahateh teh nimekupata mkuu
Haya kaka mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahateh teh nimekupata mkuu
Hahahahhahahahaahaa.....!!
shoo shoo mpaka dakik ya mwisho...mshamba haelewi..kasanga nae mwanaHahahahha
Kama kawaida....shoo shoo mpaka dakik ya mwisho...mshamba haelewi..kasanga nae mwana
Fanya kama hakijatokea kitu....fanya kama kafa shoga....ayeeeeeKama kawaida....
Shoo bize shoo time, hakuna kolombwee wala maunyakaa...
Hapa tunamchinjia kobe baharini.
Ehhhhh kama kalambwanda
HahaahahaFanya kama hakijatokea kitu....fanya kama kafa shoga....ayeeeee
hahahaha....kuna sehemu Ukifika vitu wanavyoviongea unaweza kubaki kutumbua macho tu.....!!hakuna namna tuishi nao tuHahaahaha
Yaani jaman vijana wana vimsemo vyao ni vya kushangaza sana
Yaani inabidi tu tuishi na tuendane nao hivihivo.hahahaha....kuna sehemu Ukifika vitu wanavyoviongea unaweza kubaki kutumbua macho tu.....!!hakuna namna tuishi nao tu
Na wewe nae kwenye ujana umo..?sio mnyonge kivileYaani inabidi tu tuishi na tuendane nao hivihivo.
Maana ni sheeeeeda
Hamna...mie ujana nishapita mwanangu.Na wewe nae kwenye ujana umo..?sio mnyonge kivile
Sitaki kuamini...anyway yote maisha...Naamini ujana wako ulifanya vingi vya kumbukumbu(+)Hamna...mie ujana nishapita mwanangu.
Naelekea uzeeni
HahaahhaSitaki kuamini...anyway yote maisha...Naamini ujana wako ulifanya vingi vya kumbukumbu(+)
hahaha....sio kila ndio ina ukweli kiundani nyingine zimeambatana na utani.....yako imeambatana na utani....!si ndio mkuu!Hahaahha
Ndio mkuu
Kweli tena mkuuhahaha....sio kila ndio ina ukweli kiundani nyingine zimeambatana na utani.....yako imeambatana na utani....!si ndio mkuu!