Uko sahihi sana au sio Mama DUSIMDHARAU mkeo sababu ya WADANGAJI, usijione mjanja kumpata huyo MBINUA makalio asiyejua PESA zako umepataje huku mkeo ALIYEKUVUMILIA muda wa shida akila MATUSI. [emoji183]
Na nyie wavumilieniUmesema kwel.
Ingawa hawa wake zetu nao kwa kigezo cha kuwa walituvumilia kwenye hustle basi huwa wanakuaga na viburi sanaaaaa like we can tell them nothing!!
Amehlo nakumbushia ombi langu lileπππhaya bila shaka wamesikia
Kaaz kwel kwelNa nyie wavumilieni
Ngoma drooNa nyie wavumilieni
Yeah,kuna muda tunajisahau...full kujitutumua na kubinua midomo juuUmesema kwel.
Ingawa hawa wake zetu nao kwa kigezo cha kuwa walituvumilia kwenye hustle basi huwa wanakuaga na viburi sanaaaaa like we can tell them nothing!!
Usinifanyie hivyo basiLipi mkuu
Thank youuuuuYeah,kuna muda tunajisahau...full kujitutumua na kubinua midomo juu
Wana uchumi wanaita "Discount principle"USIMDHARAU mkeo sababu ya WADANGAJI, usijione mjanja kumpata huyo MBINUA makalio asiyejua PESA zako umepataje huku mkeo ALIYEKUVUMILIA muda wa shida akila MATUSI. π
ππππUsinifanyie hivyo basi
ππππgesi imeishaSema neno moja basi nitulie....
Au nitoke ndukii
Sasa vigesi hivyo vya 60 -80k ndio vinitoe nduki!??ππππgesi imeisha