Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
All that is necessary for evil to succeed is for good men to do nothing(Edmund Burke)
 
Ha ha ha huu msemo bwana sasa sijui nani kasema..watu wa Lugha nadhan watatupa facts kuhusu misemo ya aina hii..au ndio from UNKNOWN

Mimi sijawahi ona msemo applicable katika maisha ya kila siku kama huu. Nilishafanya jitihada nyingi sana za kumtafuta aliyesema hivi lakini sikumpata.
 
Mimi sijawahi ona msemo applicable katika maisha ya kila siku kama huu. Nilishafanya jitihada nyingi sana za kumtafuta aliyesema hivi lakini sikumpata.

Unajua hapa tunazungumzia Quotes ambazo mimi natafsiri kama Nukuu, na sio Misemo au Sayings..
Nitakua tayari kurekebishwa
 
Ni kweli hapa yunazungumzua nukuu, na hii pia itakuwa ni nukuu, lazima kuna mtu alizungumza ingawa hajulikan.
 
Ahaa basi huwa hata ukiangalia baadhi ya Websites ambazo wanatunza Best Quotes kuna baadhi ya Quotes wanaweka..(UNKNOWN)..
Nadhan na hii itakua ivyoivyo
 
Katika uhalisia hakuna mchungaji anayeweza mfunga mbuz wake jangwani.

Mbuzi lazima afungwe malishoni na kamba yake ndo itamuongoza ale mpaka wapi.
 
Katika uhalisia hakuna mchungaji anayeweza mfunga mbuz wake jangwani.

Mbuzi lazima afungwe malishoni na kamba yake ndo itamuongoza ale mpaka wapi.

Iyo ndo huruma yenyewe ya mchungaji ndugu
 
If someone came to the house Negro and said, "Let's
go, let's separate," naturally that Uncle Tom would
say, "Go where? What could I do without boss? Where
would I live? How would I dress? Who would look out
for me?" That's the house Negro. But if you went to
the field Negro and said, "Let's go, let's separate," he
wouldn't even ask you where or how. He'd say, "Yes,
let's go.".(Malcom x)
 
"tell my people that i love them,i knw the blood of my body will nourish the tree of freedom which will bear the fruits of independent...ALLUTAR CONTINUA"(Solomon Mahalangu)
 
"tell my people that i love them,i knw the blood of my body will nourish the tree of freedom which will bear the fruits of independent...ALLUTAR CONTINUA"(Solomon Mahalangu)

Kwa wale Wa SUA nadhani hii NDO salam ya kuingilia Solomon M campus
 
We should not let our fear hold us back from persuing our hopes(j.f.kennedy)
 
Back
Top Bottom