Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
The roots of education are BITTER but its fruits are SWEETS (Socrates)
 
"violence is the only language that colonizers speak, be best solution for liberation is to speak the same language" frantz fanon
 
"injustice anywhere is a threat to justice everywhere" martin luther king jr
 
Mimi sijawahi ona msemo applicable katika maisha ya kila siku kama huu. Nilishafanya jitihada nyingi sana za kumtafuta aliyesema hivi lakini sikumpata.

Unajua hapa tunazungumzia Quotes ambazo mimi natafsiri kama Nukuu, na sio Misemo au Sayings..
Nitakua tayari kurekebishwa

Mimi sikurekebishi nakupa hii kama zawadi.kuna kitu wahenga walisema si ndio? Yaonekana haya maneno yalisemwa na watu but hawajulikani ni kina nani na wanahadhi ya kuwa wenye busara kutokana na umuhimu wa maneno yao.

Back to the point yana fit kuwa quotes since are the words quoted from wahenga
 
Life doesnt always introduce you to the people you want to meet.Sometimes life puts you in touch with people you need to meet,to help you,hurt you,to leave you,to love you and gradually strengthen you into the person tou were meant to become.Lucas #one tre hill#.
 
Mimi sikurekebishi nakupa hii kama zawadi.kuna kitu wahenga walisema si ndio? Yaonekana haya maneno yalisemwa na watu but hawajulikani ni kina nani na wanahadhi ya kuwa wenye busara kutokana na umuhimu wa maneno yao.

Back to the point yana fit kuwa quotes since are the words quoted from wahenga

Hoja ya msingi sana.Tuko pamoja mkuu
 
To be accountable to our beneficiaries, we have to close the gap between what we say and what we do. We have to improve what we do and how we do it. Jan Egeland

 
najua siwezi tena kurudi nyumban nikiwa mzima, japokuwa ninataman........ Edward snowden
 
"The secret to my success is i bit more than i could chew and chewed as fast as i could" anonymous
 
The person who reads
too much and uses his
brain too little will fall
into lazy habits of
thinking.
—Albert Einstein
 
"Faith is taking the first step even though you do not see the whole staircase" tin Luther...
 
Back
Top Bottom