Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
remember a jungles ,walk with, tomorrow would go.
John hill
 
Mwalimu Nyerere; "Ni bora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizokufa"
"Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote"

Abrahamu Linlccon: Rais wa 16 wa nchi ya Marekani. "Serikali ya watu, inayowatumikia watu na iliyowekwa na watu haitapotea duniani"

Nelson Mandela; "Elimu ni silaha yenye nguvu yenye uwezo wa kuibadilisha dunia."
"Kichwa kizuri na moyo mzuri huwa na ushirika".

"Kama unataka kutengeneza amani na adui yako, tengeneza nae urafiki kisha atakuwa rafiki yako".

"Inatupasa tutumie muda vizuri na siku zote tukumbuke ya kwamba muda huenda sahihi"

Thomas Jefferson: "Uaminifu ni ukurasa wa kwanza wa kitabu cha hekima"

Lucille Ball: "Huwa najutia mambo niliyoyatenda kuliko yale ambayo sikuyatenda"

Confucius: "Ukimia ni chanzo kikubwa cha nguvu"

Lao Tzu: "Kuwajua wengine ni hekima, kujijua mwenyewe ni marifa makubwa"

Benjamini Franklin: "Uaminifu ni sera nzuri"

Abrahan Maslow: "Ukiwa na nyundo unaona kila tatizo kama msumari"

Publilius Syrus: "Kutokana na makosa ya wengine mwenye hekima hujisahihisha"

Aritotle: "Matumaini ni matumaini yanayotembea"

Plato: "Maamuzi mazuri huegemea maarifa na sio umri"

John F. Kennedy: "Samehe adui zako lakini usisahau majina yao" | "Ushindi una baba wengi ila kushindwa ni yatima"

NB: Nawe ongezea ya kwako au nukuu nyingine zaidi za watu mashuhuri, kabla ya kuchangia.
Mugabe hana hata moja!
 
Wekezeni sana kwenye mademu mje kuwa na Timu za watoto vilaza kama akili zenu By Charmie
 
Wakuu habari zenu nahusudu sana nukuu hizi kwenye nyimbo za Bob Marley:
1."if you are a big tree,We are the small axe
We sharpened to cut....."
2." Until the philosophy which holds one race superior and onather inferior " HAILE SELASSIE speech
3. " Life is one big road with a lots of signes...."
4. ".......Give them an inch they take a yard,Give them a yard they take a mile once a man and ....."
WEKENI MNAZO ZIFAHAMU
 
Back
Top Bottom