bonta naomba unisaidie kwa hili mtu mwenye D flat ana 4ya point 28 hii hii Mtu anaenda chuo anakuwa mwalimu lakini D tatu kwa physics,chemistry,biology anaenda kusoma Chuo cha uuguzi anakuwa clinical officer na anakabidhiwa zahanati Ila yy anaitwa msomi kuliko mwl mwenye div 3 ambaye comb haijabalance na mwingine ana 4 ya 26 naomba kauli ya ualimu n kwa waliofeli naona mnawadharirisha walimu hata wauguzi nao wamefeli sasa na tusiwe na mawazo mgando sa hizi shule za msingi zina walimu wenye degree na masters sasa mnaposema waliofeli siwaelewi ipeni heshima career hii kumbukeni mwanafunzi akifeli mnasema walimu walifeli watawafundishaje wanafunzi wapate one? na wakati huo huo kuna wanafunzi ndani ya drs wanapata one wengine wanapata 0 Ila hukumu inaangalia wenye ufaulu mdogo hakuna sifa kwa hao walimu waliofeli (mnavyowaita) wanapofaulisha baadhi ya wanafunzi Ila wao mabaya tuu kweli ualimu n chumvi hawana sifa kwenye mboga kama msanii naona hukuwatendea haki walimu kiukweli na hii inapelekea hata wengine wasiwe na ndoto za kuwa walimu baadae maana sidhani kam kuna mtu atakuwatayar kusimama sehemu na kujitambulisha kwamba Mimi mwl na ana shahada maana kule kijiji wanachokijua ndo walewale wa kufeli Ila wenzetu hata mkunga anaitwa doctor duuuuuuu [HASHTAG]#Rudishahadhiyamwalimu[/HASHTAG]