Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
mwenye huruma anieleweshe, sijaelewa heading wala kilichoandikwa!
17634299_10155016055601328_885718164704326976_n.jpg
 
unaweza kusahau kila kitu lakini huwezi kusahau jina lako by kizwezwe.
 
Diamond amesema alikutana na ali kiba kenya wakiwa kwenye coke studio baba Tiffah anasema waliongea mengi na kupiga picha pia ali kiba alikuepo wakati yeye anarekodi nyimbo na Ne yo kwa habari zaidi bonyeza link ya blue apo chini :
 
bonta naomba unisaidie kwa hili mtu mwenye D flat ana 4ya point 28 hii hii Mtu anaenda chuo anakuwa mwalimu lakini D tatu kwa physics,chemistry,biology anaenda kusoma Chuo cha uuguzi anakuwa clinical officer na anakabidhiwa zahanati Ila yy anaitwa msomi kuliko mwl mwenye div 3 ambaye comb haijabalance na mwingine ana 4 ya 26 naomba kauli ya ualimu n kwa waliofeli naona mnawadharirisha walimu hata wauguzi nao wamefeli sasa na tusiwe na mawazo mgando sa hizi shule za msingi zina walimu wenye degree na masters sasa mnaposema waliofeli siwaelewi ipeni heshima career hii kumbukeni mwanafunzi akifeli mnasema walimu walifeli watawafundishaje wanafunzi wapate one? na wakati huo huo kuna wanafunzi ndani ya drs wanapata one wengine wanapata 0 Ila hukumu inaangalia wenye ufaulu mdogo hakuna sifa kwa hao walimu waliofeli (mnavyowaita) wanapofaulisha baadhi ya wanafunzi Ila wao mabaya tuu kweli ualimu n chumvi hawana sifa kwenye mboga kama msanii naona hukuwatendea haki walimu kiukweli na hii inapelekea hata wengine wasiwe na ndoto za kuwa walimu baadae maana sidhani kam kuna mtu atakuwatayar kusimama sehemu na kujitambulisha kwamba Mimi mwl na ana shahada maana kule kijiji wanachokijua ndo walewale wa kufeli Ila wenzetu hata mkunga anaitwa doctor duuuuuuu [HASHTAG]#Rudishahadhiyamwalimu[/HASHTAG]
 
at the end we will re,member not the words of our enemy but the silence of our friend- king ruther jr
 
"You fool some people some times but you can't fool all people all of the time" Walter Rodney 1963
"Some people got everything,some people got nothing.." R.N marley

"The oppressed will always bealive the worst above themselves" - Frantz Fanon


Endelea.....
 
"YOU FOOL SOME PEOPLE SOME TIMES BUT YOU CAN'T FOOL ALL PEOPLE ALL OF THE TIME" WALTER RODNEY 1963

"SOME PEOPLE GOT EVERYTHING,SOME PEOPLE GOT NOTHING.." R.N MARLEY


endelea.....
 
Back
Top Bottom