Hata walioziongea waliziongea kwa kizungu, kukalimani kunaweza kupelekea tafsiri zisizo rasmi, kupunguza uzito ama hata kubadili maana. Hivyo sijui ulitakaje!!Nukuu zote za waliocomment ni za kizungu,chache sana ni za kiswahili hii maana yake nini?
Za kiswahili hamna?Hata walioziongea waliziongea kwa kizungu, kukalimani kunaweza kupelekea tafsiri zisizo rasmi, kupunguza uzito ama hata kubadili maana. Hivyo sijui ulitakaje!!
We jamaa! Mtoa maada kasema mtu atoe quote ambayo ni motivation kwake, sasa we unalazimisha kiswahili. Mtu akiwa na za kiingereza ama kiganda Tatizo ninini?Za kiswahili hamna?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakugawaMkanye mkeo bajaji si yangu
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama uchizi ni kuvua nguo zote,kila mtu anakuwa chizi kila siku
You sound like a winner.Surely goodness and mercy shall follow me all the days of my life: and I will dwell in the house of the Lord for ever.
Aiseee hii nmeipenda[emoji122]Don't interrupt your enemy when he's making a mistake
hi kali kuliko zoteHata saa iliyosimama kuna wakati inasema kweli