Habari wana BUU,
Mimi ni mmoja kati ya ambao napata hamasa kubwa na motisha kupitia "quotes" za watu mbali mbali wa maana hasa wale wa kale......kama wachumi, wanasiasa, wajasiriamali, wanaharakati na hata watu wa dini tofauti tofauti,
Hivyo nimeona sio mbaya tukashirikishana hivi vimisemo vya watu wa maana....narudia watu wa maana.
Tujifunze....tutiane moyo....tuoneshane njia.
NB: lugha yoyote sawa ila tusipoelewa tutafsiriane ili mtu atoke na kitu, mfn hata mm nimeshindwa kujua kiswahili cha neno "Quote"
-"If you don't risk anything, you risk even more." — Erica Jong
-"Wealth is not simply about having [HASHTAG]#money[/HASHTAG]; it is about having the freedom to choose how to live your life." - R. Kiyosaki
-"The idea that success can happen overnight is crippling the financial future of generations. You have to work for it." - R. Kiyosaki