Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
Mistakes
a62600e9049b8cd33f7a285c01a7d158.jpg
 
Excellent Quote!!! Real you can't win without trying!! And sometimes you lose while trying!! But keep your dream alive, at the end you will be a Winner.[emoji122][emoji122]
 
Mwalimu Nyerere;
  • "Ni bora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizokufa"
  • "Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote"
Nelson Mandela;
  • "Elimu ni silaha yenye nguvu yenye uwezo wa kuibadilisha dunia."
  • "Kichwa kizuri na moyo mzuri huwa na ushirika".
  • "Kama unataka kutengeneza amani na adui yako, tengeneza nae urafiki kisha atakuwa rafiki yako".
  • "Inatupasa tutumie muda vizuri na siku zote tukumbuke ya kwamba muda huenda sahihi"

Abrahamu Lincoln
(Rais wa 16 wa nchi ya Marekani):
"Serikali ya watu, inayowatumikia watu na iliyowekwa na watu haitapotea duniani".

Thomas Jefferson:
"Uaminifu ni ukurasa wa kwanza wa kitabu cha hekima".

Lucille Ball: "Huwa najutia mambo niliyoyatenda kuliko yale ambayo sikuyatenda"

Confucius: "Ukimia ni chanzo kikubwa cha nguvu"

Lao Tzu: "Kuwajua wengine ni hekima, kujijua mwenyewe ni maarifa makubwa"

Benjamini Franklin: "Uaminifu ni sera nzuri"

Abrahan Maslow:
"Ukiwa na nyundo unaona kila tatizo kama msumari"

Publilius Syrus: "Kutokana na makosa ya wengine mwenye hekima hujisahihisha"

Aritotle: "Matumaini ni matumaini yanayotembea"

Plato: "Maamuzi mazuri huegemea maarifa na sio umri"

John F. Kennedy:
"Samehe adui zako lakini usisahau majina yao" | "Ushindi una baba wengi ila kushindwa ni yatima"
----------

NB: Nawe ongezea ya kwako au nukuu nyingine zaidi za watu mashuhuri, kabla ya kuchangia.
Napita nitakuja baadae
 
Mwalimu Nyerere;
  • "Ni bora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizokufa"
  • "Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote"
Nelson Mandela;
  • "Elimu ni silaha yenye nguvu yenye uwezo wa kuibadilisha dunia."
  • "Kichwa kizuri na moyo mzuri huwa na ushirika".
  • "Kama unataka kutengeneza amani na adui yako, tengeneza nae urafiki kisha atakuwa rafiki yako".
  • "Inatupasa tutumie muda vizuri na siku zote tukumbuke ya kwamba muda huenda sahihi"

Abrahamu Lincoln
(Rais wa 16 wa nchi ya Marekani):
"Serikali ya watu, inayowatumikia watu na iliyowekwa na watu haitapotea duniani".

Thomas Jefferson:
"Uaminifu ni ukurasa wa kwanza wa kitabu cha hekima".

Lucille Ball: "Huwa najutia mambo niliyoyatenda kuliko yale ambayo sikuyatenda"

Confucius: "Ukimia ni chanzo kikubwa cha nguvu"

Lao Tzu: "Kuwajua wengine ni hekima, kujijua mwenyewe ni maarifa makubwa"

Benjamini Franklin: "Uaminifu ni sera nzuri"

Abrahan Maslow:
"Ukiwa na nyundo unaona kila tatizo kama msumari"

Publilius Syrus: "Kutokana na makosa ya wengine mwenye hekima hujisahihisha"

Aritotle: "Matumaini ni matumaini yanayotembea"

Plato: "Maamuzi mazuri huegemea maarifa na sio umri"

John F. Kennedy:
"Samehe adui zako lakini usisahau majina yao" | "Ushindi una baba wengi ila kushindwa ni yatima"
----------

NB: Nawe ongezea ya kwako au nukuu nyingine zaidi za watu mashuhuri, kabla ya kuchangia.
Wanasherehekea kuanguka kwa ujamaa , lakini yakowapi mafanikio ya Ubepari kuanzia Asia hadi Africa. Fidel Castro.
 
Jina lake aliitwa Sheikh AboodJumbe mwinyi, sahihisha hilo, haya endelea.....
 
Back
Top Bottom