Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
Quran 9:30 “The Jews and the Christians are perverts; fight them.”
sasa mkuu kulikua na ulazima gani wa kutoa hizi za kichochezi?
kutaka mabishano?

huu uzi jamaa kaunzisha kwa lengo zuri ila watu kama nyie mtaufanya uondolewe
kumbuka hata kwenye bible pia kuna mistari mingi inazingua
 
Quran 9:5 “When opportunity arises kill the infidels wherever you catch them.”
 
Quran 2:191 “Slay the unbelievers wherever you find them.”
 
Quran 3:85 “Any religion other than Islam is not acceptable.”
 
Quran 9:123 “Make war on the infidels living in your neighborhood.”
 
Quran 9:28 “The infidels are unclean; do not let them into a mosque.”
 
Quran 47:4 “Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them.”
 
sasa mkuu kulikua na ulazima gani wa kutoa hizi za kichochezi?
kutaka mabishano?

huu uzi jamaa kaunzisha kwa lengo zuri ila watu kama nyie mtaufanya uondolewe
kumbuka hata kwenye bible pia kuna mistari mingi inazingua


Mkuu mi nimeitikia wito kwa kuweka ayat nzuri za Quran tukufu ili kila mtu ajionee uzuri wa Quran. Kama ww unasema ni za kichochezi ni shauri yako maana Quran ni maneno ya Allah(sw) mwenyewe. Sasa mi sielewi wewe inakuaje unaziita za kichochezi
 
Islamics' huge of
Inspirational, Pictures,
Photos, Images, quotes
one-liners about Islam,
Allah,Qur'anic, Hadith,prayer
Love,Life,Friendship, Happiness, Society, Sirah,
Artworks, nature e.t.c
Also includes meme and Islamic funfacts.
Islamic quotes za kiswahili zunaruhusiwa hapa,
Kwa majadiliano mema kabisa,Kwa lugha
zingine mpaka uruhusiwe na mwanzilishi wa Uzi huu.
Karibuni nyote.
show all
NB:Bila kusahau Arabic Quotes cause its worldwideweb's language.
 
women are deficient in intelligence.
bukhar. 7:62:33
 
Mkuu mi nimeitikia wito kwa kuweka ayat nzuri za Quran tukufu ili kila mtu ajionee uzuri wa Quran. Kama ww unasema ni za kichochezi ni shauri yako maana Quran ni maneno ya Allah(sw) mwenyewe. Sasa mi sielewi wewe inakuaje unaziita za kichochezi
you have a problem of immaturity
 
sasa mkuu kulikua na ulazima gani wa kutoa hizi za kichochezi?
kutaka mabishano?

huu uzi jamaa kaunzisha kwa lengo zuri ila watu kama nyie mtaufanya uondolewe
kumbuka hata kwenye bible pia kuna mistari mingi inazingua

Na iyo mistari haizingui, ila huyo amesoma juu juu, na pia mungu ameweka kifuniko ktk moyo wake,na ametia uziwi katika masikio yake, ,ili afe akiwa kafiri
 
Quran 22:19 “Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods,boiling water; melt their skin and bellies.”
Quraan 22:19-Hawa mahasimu wawili waliohasimiana kwa ajiri ya mola wa. Basi wale waliokufuru watakatiwa nguo za moto na yatamiminwa juu ya vichwa vyao maji yachemkayo.
 
Quran 47:4 “Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them.”
Quraan 47:4-Basi mnapokutana vitani na wale walio Kufuru wapigeni ktk shingo zao mpaka mkiwashinda sana, hapo wafungeni mateka wawacheni kwa hisani au kujikomboa. Kila vikitokea vita fanyeni hivi hivi hata vita vitue mizigo.
 
Quran 9:28 “The infidels are unclean; do not let them into a mosque.”
Quraan 9:28-Na jueni ya kwamba mali zenu na watoto wenu ni mtihani na jueni ya kwamba kwa mwenyezi mungu yako malipo makuu.
 
sasa mkuu kulikua na ulazima gani wa kutoa hizi za kichochezi?
kutaka mabishano?

huu uzi jamaa kaunzisha kwa lengo zuri ila watu kama nyie mtaufanya uondolewe
kumbuka hata kwenye bible pia kuna mistari mingi inazingua
Mmh!! Lazima una sababu zako za msingi kuweka hayo
 
Mheshimiwa kuna hiyo katika Quran au umeamua kuchafua.Usikute Alshabab wanaua waKristo kule Kenya wanatumia hiyo Ayat.[/QUOTE

Masahihisho; Quran 9:30 Inasema"Na mayahudi wanasema "Uzeri ni mwana wa mungu" na wakristo wanasema "Masihi ni mwana wa mungu," Haya yote wasemayo kwa vinywa vyao .Wanayaiga maneno ya wale walio kufuru kabla yao,mwenyezimungu awaangamize,wanageuzwa namna gani hawa!(mwisho wa nukuu)
 
sasa mkuu kulikua na ulazima gani wa kutoa hizi za kichochezi?
kutaka mabishano?

huu uzi jamaa kaunzisha kwa lengo zuri ila watu kama nyie mtaufanya uondolewe
kumbuka hata kwenye bible pia kuna mistari mingi inazingua
Kumbe kwenye kurani zimo aya za kichochezi? Kwenye Biblia hakuna
 
Back
Top Bottom