britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
"Isingekuwa aibu ya uvamizi siku ile Makonda angeamuru Nape leo awekwe ndani kwa kuhisi anaweza kuvuruga msiba wa Ruge" hivyo madaraka tusiyatumie vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwa nikizisoma quotes mbalimbali za watu maarufu Duniani sasa wewe mwanaJf naomba uweke "msemo" wako hapa tuujue[emoji23][emoji23][emoji23]
Mie: "Mwalimu bora ni mwanafunzi wa muda wote"
[emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikizisoma quotes mbalimbali za watu maarufu Duniani sasa wewe mwanaJf naomba uweke "msemo" wako hapa tuujue[emoji23][emoji23][emoji23]
Mie: "Mwalimu bora ni mwanafunzi wa muda wote"
[emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh. Shikamoo Mkuu."MBELE huchezi NYUMA hutikisiki" (Nzuri Pesa Feb 2019)
"Akhera wanauliza utakwenda lini, DUNIANI wanauliza Utaondoka lini"
(Nzuri Pesa Feb 2019)