Papaa Muu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 243
- 292
"Mambo makubwa yanayosababisha mishipa ya moyo kuziba ni pamoja na ulaji wanga, mafuta na sukari.
Watu wengi wanadhani mafuta tu ndio yananenepesha. La hasha, wanga ndio mbaya zaidi. Wengi wananenepeana kutokana na wanga. Ndio maana utafiti uliofanywa unaonesha watu wanaonenepeana wako zaidi nchi za Kiarabu.
Mwezi wa Ramadhani waislamu wenzangu wengi huongezeka sana uzito. Hii ni kwasababu ya kula vyakula na mahanjumati yenye wanga mwingi. Pia, vyakula hivyo huliwa muda mbaya (ftari saa 12 na daku kuanzia saa 6 usiku) ambapo mwili unakuwa hauna activities na hivyo metabolism huwa ni kwa kiasi cha chini sana. Kwa siku, Sisi tunakula wanga mwingi asubuhi lakini hatuna activities tunapanda magari na kushinda ofisini tumekaa siku nzima!!!.
Lazma tutanenepeana tu, hamna namna. Hii ni tofauti na wenzetu wa vijijini. Wao wanaruhusiwa kula vyakula vya aina zote kwani wana activities nyingi. Hivyo, nashauri mle vyakula stahiki, mfanye mazoezi na mywe maji kiasi. Maji mengi sana hayafai kabisa kwani yanayayusha madini mwilini ambayo ni muhimu. Kunywa lita moja na nusu tu. Mimi sijala mkate, chapati, vitumbua, maandazi nk kwa miaka 10 na sijanywa juisi na soda kwa miaka 3.
Pendelea kula matunda badala ya juisi na pia kula sana mboga mbalimbali za majani. Nakusihi sana usisikilize tumbo, mdomo wala macho kwani vitakupotosha, badala yake sikiliza ubongo wako ukikwambia _"Prof. Jannabi aliniambia nile nini?"_. "DIET" ni sawa na SALA. Maana yake ni kuwa unajiandalia huko mbeleni. Uchaguzi ni wako".*
Prof. M. JANNABI,
Watu wengi wanadhani mafuta tu ndio yananenepesha. La hasha, wanga ndio mbaya zaidi. Wengi wananenepeana kutokana na wanga. Ndio maana utafiti uliofanywa unaonesha watu wanaonenepeana wako zaidi nchi za Kiarabu.
Mwezi wa Ramadhani waislamu wenzangu wengi huongezeka sana uzito. Hii ni kwasababu ya kula vyakula na mahanjumati yenye wanga mwingi. Pia, vyakula hivyo huliwa muda mbaya (ftari saa 12 na daku kuanzia saa 6 usiku) ambapo mwili unakuwa hauna activities na hivyo metabolism huwa ni kwa kiasi cha chini sana. Kwa siku, Sisi tunakula wanga mwingi asubuhi lakini hatuna activities tunapanda magari na kushinda ofisini tumekaa siku nzima!!!.
Lazma tutanenepeana tu, hamna namna. Hii ni tofauti na wenzetu wa vijijini. Wao wanaruhusiwa kula vyakula vya aina zote kwani wana activities nyingi. Hivyo, nashauri mle vyakula stahiki, mfanye mazoezi na mywe maji kiasi. Maji mengi sana hayafai kabisa kwani yanayayusha madini mwilini ambayo ni muhimu. Kunywa lita moja na nusu tu. Mimi sijala mkate, chapati, vitumbua, maandazi nk kwa miaka 10 na sijanywa juisi na soda kwa miaka 3.
Pendelea kula matunda badala ya juisi na pia kula sana mboga mbalimbali za majani. Nakusihi sana usisikilize tumbo, mdomo wala macho kwani vitakupotosha, badala yake sikiliza ubongo wako ukikwambia _"Prof. Jannabi aliniambia nile nini?"_. "DIET" ni sawa na SALA. Maana yake ni kuwa unajiandalia huko mbeleni. Uchaguzi ni wako".*
Prof. M. JANNABI,