Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
Anybody can become angry - that is easy, but to be angrywith the right person and to the right degree and at the right time and for the right purpose, and in the right way - that is not within everybody's power and is not easy.

Aristotle
 
Salamu!

Kumekuwa na nukuu mbalimbali ama kwa lugha ya Kiingereza 'Quotations' hasa kutoka kwa watu maarufu ambazo zinafahamika sana huku zingine zikionekana kama hazina maana yeyote ama zingine zina ujumbe uliofichwa kiasi kwamba pengine unahitaji uwe 'Great Thinker' ndio uweze kung'amua maana zake la sivyo utaishia kutoka kapa.

Kuna baadhi ya nukuu huwa zinafikirisha sana ingawa kwa wengine zinaweza kuwa kama upuuzi huku upande fulani wakiona kuwa zina maana fulani ambayo si yakuidharau na zinakufanya ufikirie sana kwamba ni kwanini muhusika aliamua kuzungumza vile. Mifano yake ni hizi hapa;

  • "If you want to steal, steal a little in a nice way. But if you steal too much to become rich overnight, you'll be caught". - Mobutu Sésé Seko kuku ngbendu wa za Banga

Kwa kiswahili, Mobutu Sésé Seko aliwahi kusema kwamba "Ukitaka kuiba, basi iba kidogo kidogo na kwa njia nzuri lakini ukiiba sana uwe tajiri kwa usiku mmoja, utakamatwa tu"

Nukuu nyingine hii hapa;

  • "The only white man you can trust is a dead white man". - Robert Mugabe

Mugabe aliwahi kusema kwamba "Mtu mweupe (Mzungu) pekee wa kumuamini ni mtu mweupe aliyekufa"

Kuna nyingine nyingi tu kama;
  • Everything has its limit, Iron ore cannot be educated into gold. (Mark Twain)
  • The difference between stupidity and genius is that genius has its limits. (Albert Einstein)
  • An intelligent hell would be better than a stupid paradise. (Victor Hugo)
Naam! hizo ni baadhi tu ya nukuu zenye jumbe za kufikirisha sana kutoka kwa watu mbalimbali maarufu waliowahi kuwepo hapo zamani na waliopo hivi sasa ambao walitoa mawazo yao tu kutokana na maswala mbalimbali waliyokutana nayo katika maisha yao ila jukumu la kukataa ama kukubaliana ni hicho walichokizungumza linabaki kuwa ni la mtu binafsi.
''We ain't picture perfect but we worth the picture still '' j,cole
 
Back
Top Bottom