Hiyo velar si ndio?Lowasa anarohonzuri saana .ungekuwa hata mpambe wake mpaka Leo ungemiliki kamahiyo .
Kuna siku kule kwenye special thread uliniuliza dogo hujambo,nikashangaa,kumbe ulikuwa sahihi [emoji1]Nilisoma na Julius Mtatiro, alikuwa kiongozi wa chakula alafu mtata kweli yule mkurya. Alikuwa akimdate dada mmoja anaitwa Grace na ilijulikana hadi na walimu ila hata hakufanywa lolote. Sijui ndio alikuja kumuoa!!
Kingunge huyu msemaji wa. Chadema auDah kumbe kufoji mmeanza kitambo Lumumba. Anyway mi nilisoma na kingunge, alikuwa anakuja na ngozi ya mkia wa mbuzi siku ya mtihani ili kupigia mstari kwenye mtihani mana alikuwa ameinyoosha ngozi ile na kuikausha kama rula,
Dah shikamoo bi mkubwaRtd General Davis Mwamunyange......Mawenzi Secondary School:1967 to 1970.
Alikuwa mpole na kichwa yake imejaa vitu....ni namba moja tu miaka yote hiyo,hajawahi kuwa wa pili.
Hekima na busara tokea shule alikuwa nazo.
Sasa ulifikiri mimi mtoto mwenzio!!We nawe Muhenga kwel
Mada tofauti Lakini ndo majibu mengi yanatambulisha jinsi Jamii Forum inavyoshushiwa hadhi na uwingi wa wajinga.
Hahahahehehe we wa madaleNimsoma na Mahatma Karamchand Gandhi kule Uingereza alikuwa mstaarabu Sana aisee
Ushahidi ni vyeti.JE aliyesoma pale muccobs?
Kwahyo wewe zari Mie diamondSasa ulifikiri mimi mtoto mwenzio!!
Madale ndio wapHahahahehehe we wa madale
Hapana, mie esma wewe diamond.Kwahyo wewe zari Mie diamond
Haya bhana [emoji3]Dogo mie kikongwe, ukiniona nipe heshima yangu.
Cc QUIGLEY
Ha ha ha ha uwe Zari tu kwan shida gan Boss LadyHapana, mie esma wewe diamond.
huu uzi unahusu watu waliosoma na viongozi mbalimbali, huyo juma maharage ni kiongozi gani sasa!!Peleka upumbavu huko aliyekulazimisha kusoma nani?
Wewe unamjua Juma Maharage?