Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Taja jina shule basi br
 
Reactions: SDG
Hiyo 1980 sio ndio alikua kwenye hatua za kuzaliwa huyo kiduku
 
Brother umesoma Korea??? Mbona kiduku kasoma Switzerland?? hujanishawishi bado
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Na ww umesoma na nani huko kajambanani!???
 
Unamaanisha John huyu huyu tunayemuita Yohana?
 
Dah kumbe kufoji mmeanza kitambo Lumumba. Anyway mi nilisoma na kingunge, alikuwa anakuja na ngozi ya mkia wa mbuzi siku ya mtihani ili kupigia mstari kwenye mtihani mana alikuwa ameinyoosha ngozi ile na kuikausha kama rula,
Hahahahah nimeshindwa kujizuia kucheka kwa sauti...
 
Heshima kwake kabisa mungu amsaidie aendeleze hekima hiyo

Na aliyekuwa anakuwa wapili ni wewe baba ?
Sio yeye ni Jamaa alikuwa anaitwa Edwin Mulokozi wakibadilishana na Nathan ( sikumbuki jina lake la mwisho) walikuwa wanabadilishana hizo nafasi ya pili na ya tatu.
Mimi nlikuwa sina muda na NAFASI ZAO, Nilikuwa naendeleza uchagga, kuwauzia sabuni na mafuta ya kujipaka + Biskuti na pipi kifua ( nyie mnaita tropical siku izi)..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…