Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Kama inakuja hivi![emoji848]
Ukimfatikia Mzee Rungwe utagundua ni msomi wa kitambo na alifanikiwa kimaisha mapema sana, na pia sikiliza interview zake utagundua ni mpana sana kwenye logic na fasihi.

Mcheki hapa chini, naamini anajaribu pia kuaddress issue ya ajira. Unawezaje kukopesha watu wasome vyuo kisha huajiri kwa miaka mitano?Matokeo yake wasomi wanaishi kwa kutegemea betting mtaani.

Vyuo vinadahili wanafunzi wa Education (arts) na unawakopesha, kisha unasema hutaajiri walimu wa arts hadi umalize upungufu wa walimu wa science. Lini, miaka 10 may be? Yaani watu wangoje tu kisa we unanunua ndege?
tapatalk_1598017429758.jpeg
 
Bila shaka wewe ni sampuli ya wale Wajumbe,kazi yenu kumtia mtu moyo kuwa anapendwa halafu mwisho wa siku anaangukia pua.Mtakuja muuwe watu kwa presha nyie.

hahahaha[emoji23], mkuu ukipata muda pitia twitter uone watanzania wanavomuhusudu Rungwe spunda,wengine wameenda mbali na kumuomba wali maharage tu wanadai wali nyama ni maendeleo makubwa sana mpaka wanaogopa
 
Ni aibu kuona mgombea wa ofisi kubwa na inayoheshimiwa zaidi Tanzania kuja na hoja kama hii. Ni kama comedy vile. Very shameful.[emoji3525][emoji3525]
 
Ukimfatikia Mzee Rungwe utagundua ni msomi wa kitambo na alifanikiwa kimaisha mapema sana, na pia sikiliza interview zake utagundua ni mpana sana kwenye logic na fasihi.

Mcheki hapa chini, naamini anajaribu pia kuaddress issue ya ajira. Unawezaje kukopesha watu wasome vyuo kisha huajiri kwa miaka mitano?Matokeo yake wasomi wanaishi kwa kutegemea betting mtaani.

Vyuo vinadahili wanafunzi wa Education (arts) na unawakopesha, kisha unasema hutaajiri walimu wa arts hadi umalize upungufu wa walimu wa science. Lini, miaka 10 may be? Yaani watu wangoje tu kisa we unanunua ndege?View attachment 1544022

Sina tatizo na sera zake, ila uwasilishaji wake kwa hadhira.

Aeleze namna vile atafanya ili watu wapate kunufaika, lengo sio kuwagawia misosi.
 
Sina tatizo na sera zake, ila uwasilishaji wake kwa hadhira.

Aeleze namna vile atafanya ili watu wapate kunufaika, lengo sio kuwagawia misosi.
Naamini hiyo ni namna anatumia kuvuta watu, kiuhalisia kwa chama chake asipokuwa na matukio exceptional watu hawatatokea na anaweza asipate hata wadhamini.

Alifanya hivo uchaguzi uliopita, nadhani tusubiri kampeni zianze tumuone.
 
Hiii wajameni,

Hivi huu utani tumeshindwa kabisa kuuchorea mipaka?

Mgombea Urais kabisaaaaa, mbona asikemewe au kuondolewa mapema tu kwenye kinyang’anyiro!

Hivi taasisi ya Urais tunaichukuliaje, ni kweli watu hawana uwezo wa kumudu milo mitatu.

Lakini hii kutembea na mahando ya ubwabwa na kula hadharani ni kuonesha ufahari, kuwasimanga na kuwatamanisha wananchi!

Rungwe hautokuwa ukiwagawia misosi watu wote, waambie tu utawasaidiaje wamudu milo ya kiafya.

Hapa njaa inaniuma hadi nimeshindwa kuandika, ngoja kwanza.

Hii mizaha si vichekesho, tuikemee na kuipinga.
kuleni chakula bora kuku mayai na mboga, hii ni sawa hiyo? namkumbuka mzee mwinamila, inaonekana umezaliwa miaka ya 2000 Nyerere alishastaafu, yeye ndio alituhimiza tule tushibe.
 
Hiii wajameni,

Hivi huu utani tumeshindwa kabisa kuuchorea mipaka?

Mgombea Urais kabisaaaaa, mbona asikemewe au kuondolewa mapema tu kwenye kinyang’anyiro!

Hivi taasisi ya Urais tunaichukuliaje, ni kweli watu hawana uwezo wa kumudu milo mitatu.

Lakini hii kutembea na mahando ya ubwabwa na kula hadharani ni kuonesha ufahari, kuwasimanga na kuwatamanisha wananchi!

Rungwe hautokuwa ukiwagawia misosi watu wote, waambie tu utawasaidiaje wamudu milo ya kiafya.

Hapa njaa inaniuma hadi nimeshindwa kuandika, ngoja kwanza.

Hii mizaha si vichekesho, tuikemee na kuipinga.
Kitendo Cha media kumpa airtime huyu jamaa Ni dharau kwa zoezi Zima la uchaguzi wa viongozi wa nchi
 
Ulivyodadavua sera ya lishe bora utadhani wewe ndiye mzee Rungwe mwenyewe😃😅😅
Wakalimani wa Rungwe wanamsaidia kazi. Sera zake ni za kitoto, anafurahisha genge tu, ndio maana anakuwa active kipindi hiki tu.
 
Back
Top Bottom