Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Kula ni mzaha? kama ni mzaha usile siku moja tu tukuone utakavyolegea hadi boxer utashindwa kuvaa. Kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe yeye anatumia hiyo ya kwake we unapata shinda gani?

Point yake anasema tuanze na watoto hasa primary- wale chakula washibe ili wasome vizuri na wawe na afya bora - huu kwako ni utani? be serious my friend.

\
 
Hiii wajameni,

Hivi huu utani tumeshindwa kabisa kuuchorea mipaka?

Mgombea Urais kabisaaaaa, mbona asikemewe au kuondolewa mapema tu kwenye kinyang’anyiro!

Hivi taasisi ya Urais tunaichukuliaje, ni kweli watu hawana uwezo wa kumudu milo mitatu.

Lakini hii kutembea na mahando ya ubwabwa na kula hadharani ni kuonesha ufahari, kuwasimanga na kuwatamanisha wananchi!

Rungwe hautokuwa ukiwagawia misosi watu wote, waambie tu utawasaidiaje wamudu milo ya kiafya.

Hapa njaa inaniuma hadi nimeshindwa kuandika, ngoja kwanza.

Hii mizaha si vichekesho, tuikemee na kuipinga.
Inaonyesha ni jinsi gani wanavyotudharau wananchi na vyombo vya habari vinampa kiki kabisa ama kweli Elimu yafuta ujinga
 
Rungwee atangazee bhasi Next time atafanyia wapi Mkutanoo...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chezea walii wewee..
 
Mbona jiwe a natembea na mahindi mfukoni akifika kwa rais anayatoa na kula hadharani.......

Umemfokeaa??
 
Huyu mzee akitoa ratiba yake, amini hata polisi hawataweza kudhibiti umati wake!!
Kwa taarifa yako polisi wana njaa kuliko wananchi ... Watachofanya sitaki kusimulia kwa sasa subiri ujionee mwenyewe sipunda akiamza kufanya yake
 
Back
Top Bottom