MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mapema sana alfajiri anachukua nchi, ubwabwa siyo mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nchi hii ya Tanzania au nchi gani?Mapema sana alfajiri anachukua nchi, ubwabwa siyo mchezo
[emoji3][emoji3]mzee unataka ujue Kila anapoenda ili ukapige msosi anaotembea nao??Kinachoniuma hua hatoi ratiba ya maeneo anayotembelea. Nashauri atoe ratib ya wiki nzima kwa sisi wafuasi wake tujue tunamkuta wapi boss wetu na mahotpot y ubwabwa
Na hii 2020 lazima achukue dola mkuu.Rungwe ndio mwanasiasa pekee Tz anayependwa na kila mtu.
2025 twende na rungwe[emoji23]
Ulivyodadavua sera ya lishe bora utadhani wewe ndiye mzee Rungwe mwenyewe[emoji2][emoji28][emoji28]
Kinachoniuma hua hatoi ratiba ya maeneo anayotembelea. Nashauri atoe ratib ya wiki nzima kwa sisi wafuasi wake tujue tunamkuta wapi boss wetu na mahotpot y ubwabwa