Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Mzee anauliza utawafanyishaje kazi watu huku wakiwa hawajala? He's so consistency.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa anapewa Hela ya Kampeni?????Wala hana akili mbovu. Anajua vizuri anachofanya. He is just having fun.
Anajua reality ya Watanzania walivyo na reality ya tume ya uchaguzi.
Sana anajua anachokifanyaHuyu mzee kumuelewa yataka akili nyingi
Ana vi point fulani Sema watu wanamchukulia kama
Comedy lkn yeye yuko serious
Ova
Akili mbovu haimaanishi kua hajielewi...I meant he is fun to the fullest.....afu akishindwaga utaskia...huu uchaguz wamenionea ilikua nipite maana nilipigiwa kura nyingi tu,🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌Wala hana akili mbovu. Anajua vizuri anachofanya. He is just having fun.
Anajua reality ya Watanzania walivyo na reality ya tume ya uchaguzi.
🤣🤣🤣 Mimi huyu mzee ananiachaga hoi Sana.....yani bila uyu uchaguz unakua hauna amsha...ana vitu vya pekee amusing sanaHashim Rungwe Spunda aliwahi kusema kwamba.
Ana uhakika alishinda uchaguzi mkuu kwa ugombea nafasi ya urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, lakini aliibiwa kura nyingi sana na ushahidi anao kwasababu alipokea sim nyingi za pole maradufu kuliko idadi ya kura alizopata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa#kazi tu wkt watu Wana njaaaSana anajua anachokifanya
[emoji23][emoji1787]Hashim Rungwe Spunda aliwahi kusema kwamba.
Ana uhakika alishinda uchaguzi mkuu kwa ugombea nafasi ya urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, lakini aliibiwa kura nyingi sana na ushahidi anao kwasababu alipokea sim nyingi za pole maradufu kuliko idadi ya kura alizopata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee chenga sana, ila minamkubali hivyo hivyo....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi huyu mzee ananiachaga hoi Sana.....yani bila uyu uchaguz unakua hauna amsha...ana vitu vya pekee amusing sana
Rungwe ndio mwanasiasa pekee Tz anayependwa na kila mtu.
2025 twende na rungwe[emoji23]