Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Hashim Rungwe umri unamtupa mkono ndiyo maana ameanza kutamani vitu vya kitoto.

Kimsingi huyu anadhalilisha hadhi ya UPINZANI na kuifanya CCM ionekane iko makini.

Mada ya lishe mbona ni rahisi kuiongea siyo lazima ubebe ma hotpot ya ubwabwa.
 
Hashim Rungwe umri unamtupa mkono ndiyo maana ameanza kutamani vitu vya kitoto.

Kimsingi huyu anadhalilisha hadhi ya UPINZANI na kuifanya CCM ionekane iko makini.

Mada ya lishe mbona ni rahisi kuiongea siyo lazima ubebe ma hotpot ya ubwabwa.

Hakika mkuu, hii ni picha inayochorwa kuonekana upinzani wanafanya FUTUHI tu.

Hii si sawa!
 
Mahando ya ubwabwa aisee 🤣🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha Tanga. Au we watokea wapi mwenzangu
 
Kinachoniuma hua hatoi ratiba ya maeneo anayotembelea. Nashauri atoe ratib ya wiki nzima kwa sisi wafuasi wake tujue tunamkuta wapi boss wetu na mahotpot y ubwabwa
Hahahaha!!! Ni kweli ratiba ni muhimu sana kila siku watu tujue vyuku tunagongea wapi
 
1598013415045.png

chauma ni mwendo wa kushiba wali.........hapa ni chauma wakiwa kazini.
 
Hiii wajameni,

Hivi huu utani tumeshindwa kabisa kuuchorea mipaka?

Mgombea Urais kabisaaaaa, mbona asikemewe au kuondolewa mapema tu kwenye kinyang’anyiro!

Hivi taasisi ya Urais tunaichukuliaje, ni kweli watu hawana uwezo wa kumudu milo mitatu.

Lakini hii kutembea na mahando ya ubwabwa na kula hadharani ni kuonesha ufahari, kuwasimanga na kuwatamanisha wananchi!

Rungwe hautokuwa ukiwagawia misosi watu wote, waambie tu utawasaidiaje wamudu milo ya kiafya.

Hapa njaa inaniuma hadi nimeshindwa kuandika, ngoja kwanza.

Hii mizaha si vichekesho, tuikemee na kuipinga.
Yaan mpaka Rungwe anawachanganya hapo Lumumba..[emoji1787]
 
Back
Top Bottom