Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyo wa kwako anayekula mahindi ya kuchoma barabarani huku analindwa na mali ya umma mbona humkemei?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa inakuuma Spunda anakuletea ubwabwa unampinga[emoji23][emoji28]
Hahah kwenye TV japo tule kwa macho, anaumwa akili yule Mzee sio bure.Aniletee wapi na ratiba yake haieleweki! [emoji1][emoji1]
Hashim Rungwe umri unamtupa mkono ndiyo maana ameanza kutamani vitu vya kitoto.
Kimsingi huyu anadhalilisha hadhi ya UPINZANI na kuifanya CCM ionekane iko makini.
Mada ya lishe mbona ni rahisi kuiongea siyo lazima ubebe ma hotpot ya ubwabwa.
kiufupi jamaa nimemuelewa
Unamjua vizuri sana huwa anakula njiani huku wasafiri wengine wamezuiwa kuendelea na barabara iliyeye ale mahindi ya kuchomaWa kwangu mimi yupi!
Mahando ya ubwabwa aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha Tanga. Au we watokea wapi mwenzangu
Na hii 2020 lazima achukue dola mkuu.View attachment 1543880
Hahahaha!!! Ni kweli ratiba ni muhimu sana kila siku watu tujue vyuku tunagongea wapiKinachoniuma hua hatoi ratiba ya maeneo anayotembelea. Nashauri atoe ratib ya wiki nzima kwa sisi wafuasi wake tujue tunamkuta wapi boss wetu na mahotpot y ubwabwa
Nimecheka kidogo nipaliwe na biaYaani naandaa ratiba ya kuhudhuria mikutano yake huku nikihakikisha ndizi na ndimu hazikosekaniki mfukoni.
Ila watu🤣🤣🤣🤣🤣Pilipili hutumii? Mfukoni weka na Pilipili ya mwendo kasi.
Yaan mpaka Rungwe anawachanganya hapo Lumumba..[emoji1787]Hiii wajameni,
Hivi huu utani tumeshindwa kabisa kuuchorea mipaka?
Mgombea Urais kabisaaaaa, mbona asikemewe au kuondolewa mapema tu kwenye kinyang’anyiro!
Hivi taasisi ya Urais tunaichukuliaje, ni kweli watu hawana uwezo wa kumudu milo mitatu.
Lakini hii kutembea na mahando ya ubwabwa na kula hadharani ni kuonesha ufahari, kuwasimanga na kuwatamanisha wananchi!
Rungwe hautokuwa ukiwagawia misosi watu wote, waambie tu utawasaidiaje wamudu milo ya kiafya.
Hapa njaa inaniuma hadi nimeshindwa kuandika, ngoja kwanza.
Hii mizaha si vichekesho, tuikemee na kuipinga.