Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Angetoa ratiba yake kwa hapa dar ingependeza, watu tujimix na banana mfukoni 🀣
 
Huyu mzee saa moja alfajiri atakua amekwisha chukua nchi. Sera zake ziko simple sana na ndiyo uhalisia. Watu tunahangaika na maisha kwaajili ya vitu vitatu: tumbo; usingizi (kulala na kula tunda); na usalama.
 
Kamfokea!?...naye angemjibu USINIFOKEE

Jr[emoji769]
 
Chama Cha 'Ubwabwa' na Mapuuza

Sijui kwanini huyu mzee ubwabwa anapewa airtime kwenye serious election period kwa nchi serious Kama.tanzania

Inasikitisha sana
 
Huyu jamaa bhana japo vyombo vya habari vinamshikilia sana anatangaza wali na maharage lakini pia asipuuziwe jamaa anazo hoja. Huku wengi hamtoelewa maana hamuijui njaa inayo wakuta wenzetu Tanzania huku huku ila ndio hivo social media haziwezi zionyesha ila amini amini chakula bado ni shida Tanzania

Wengi mtasema kampeni lakini sijui hata chama chake kwa kirefu kinaitwaje lakini he has a point

Chakula ni moja kati ya basic needs we all know lakini pia hahaha bado ukishiba sana unakua mvivu..
tumuombe Mungu atusaidie kufanya kilicho sahihi.

1. Wali

2. Singeli

3. Kuponda
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Africa kweli hakuna matata
 
Wakuu karibu Sana
Tujuzane kinachojili kwenye kampeni za Mgombea URAISI kupitia CHAUMA mheshimiwa HASHIM
RUNGWE.

Uzi tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…