Mgombea Urais Mh. Hashim Rungwe: Mafao ya Wafanyakazi lazima yalipwe kwa wakati.
Huyu Mzee ana hoja nzito, Laiti wafanyakazi wangejua siri kwenye hii mifuko yao ya akiba? Duh! wangeingia barabarani kuitoa CCM madarakani mapema sana.
Hivi ni wanini Ukaguzi huru wa Mahesabau ya NSSF na PSSSF haifanywi na wafanyakazi kupewa ripoti kila mwaka?
Malipo ya Mafao (Fao la Kukosa Kazi/kujitoa) na Fao La Wazee kipindi hiki hayatoki. Watu wanasumbuliwa, miezi 3 mpaka 4 hadi 6.
Kipindi hiki wafanyakazi wanasumbuliwa, fao la kukosa ajira na wazee. Pesa zimeenda wapi?
Usikute mmeshafanya yenu Tena eeh