G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
[emoji23][emoji23][emoji23]huyu anatuzuga banaRungwe ndio mwanasiasa pekee Tz anayependwa na kila mtu.
2025 twende na rungwe[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]huyu anatuzuga banaRungwe ndio mwanasiasa pekee Tz anayependwa na kila mtu.
2025 twende na rungwe[emoji23]
Kwasabu ya upwa wa? 🤔 Haaaaa 😂Rungwe ndio mwanasiasa pekee Tz anayependwa na kila mtu.
2025 twende na rungwe[emoji23]
Hayo masinia mtu anagonga peke yake anafuta?View attachment 1543980
chauma ni mwendo wa kushiba wali.........hapa ni chauma wakiwa kazini.
Kasambala janken Malik yupo kimya sana.
Anasaidiwa na nani?watu wana horse pawa ya scania MZEE baba.Hayo masinia mtu anagonga peke yake anafuta?
Sawa,yummyýy
Mmmmmh! Tutasikia mengi!Wakuu Habari,
Leo Mgombea kupitia chama cha Umma ametujia na hili-
Tutanunua ma Rice Cooker makubwa yanayopika tani nyingi za ubwabwa na kuyaweka katikati ya miji.
Tutayawekea mfumo mzuri kama koki hivi, mtu ukipita na una njaa, unajisevia ubwabwa tu bure unakula na kuendelea na Shughuli zako
NAWASILISHA