Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo ndiye Rungwe![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23]Kazi kweli kweli
HahahahHiv huyu mzee ana maradhi ya uzee yanamsumbua au yuko serious?
teh teh teh kama hivi[emoji116]Siwezi kukosa kampeni za rungwe, kwanza hakutakuwa na mabomu, ni ubwabwa na kuku tu.
[emoji2][emoji2] bado na kuku mmoja mmoja kwa kila mtuSerikali ya kishindo imeshindwa hata kuweka dispensers za maji tu mitaani, Spunda ni ubwabwa kila kona!
[emoji23][emoji23]Mmmmmh! Tutasikia mengi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JESUS IS LORD[emoji120]
teh teh..KODI ZETU ZINATUMIKA VIBAYA MNO
Lakini ni haki yake kikatiba, naamini hawezi pata kura sifuri. Tupo tuliomwelewa tutampa.Kwani Ugali ukiliwa una shida gani? Huyo Mzee angeongelea kuboresha miundombinu tuachane na vumbi ye anaongelea ubwabwa duh