Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kama kuna kosa ambalo wapinzani watalijutia sana ni kushindwa kupambana na CCM katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ushindi wa Kishindo ilioupata CCM ndio muelekeo rasmi wa Ushindi wa Magufuli,wabunge na Madiwani wa CCM.

Mtaji wa wenyeviti wa Serikali za mitaa na vijiji ni mtaji mkubwa na hazina kubwa ya Ushindi.
Hata aibu huna! Yaani, unatumia unyang'anyi na uhuni uliotumika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kama kigezo cha Magufuli kushinda? Hivi hujui hata hao wenyeviti walioshindishwa hawamtaki aliyewashindisha? Hata wenyewe maumivu yaliyosababishwa na awamu ya tano yamewagusa
 
Baada ya kushuhudia ya leo nimeamua kupiga kambi humu humu Chato ambapo kesho kuna burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii takribani 10 wakiongozwa na Harmonize, Juma Nature na Zuchu wakinogesha kampeni za urais za CCM

Awamu hii wasanii zaidi ya 100 wamegawanyika maeneo mbali mbali ya Zanzibar na Tanganyika kwaajili ya kunogesha kampeni za CCM ambapo kwa jana pekee huko Tanga mgombea ubunge wa Tanga mjini kupitia CCM Ummy Mwalimu alikuwa na wasanii kumi akiwa mgombea ubunge wa kwanza kutia fora kwa lundo la wasanii.
View attachment 1568952View attachment 1568954View attachment 1568955View attachment 1568956View attachment 1568958View attachment 1568959View attachment 1568962View attachment 1568963
 
Chadema hadi wasanii imewakataa,vyombo vya habari haviwataki

Chadema magundu

Lugha chafu za lissu anatukana kila mtu kwa kujivunia uraia wa ubeligiji Ndio iliyoifikisha Chadema apo
Nyinyi tumieni wasanii sisi pilau na kuku [emoji23] [emoji23] [emoji23] msikimbilie tu kule Tume ili wawasaidie kwa madai kwamba pilau na kuku ni rushwa....
 
Chato kumenoga hiyo kesho.
 

Attachments

  • Lumumba Buku 7.jpg
    Lumumba Buku 7.jpg
    20.8 KB · Views: 1
  • magu.jpeg
    magu.jpeg
    128.6 KB · Views: 1
Hongera kwa kufuatilia mambo ya CCM kesho usibanduke kwenye Tv yako
Baada ya kushuhudia ya leo nimeamua kupiga kambi humu humu Chato ambapo kesho kuna burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii takribani 10 wakiongozwa na Harmonize, Juma Nature na Stamina wakinogesha kampeni za urais za CCM

Awamu hii wasanii zaidi ya 100 wamegawanyika maeneo mbali mbali ya Zanzibar na Tanganyika kwaajili ya kunogesha kampeni za CCM ambapo kwa jana pekee huko Tanga mgombea ubunge wa Tanga mjini kupitia CCM Ummy Mwalimu alikuwa na wasanii kumi akiwa mgombea ubunge wa kwanza kutia fora kwa lundo la wasanii.
View attachment 1568952View attachment 1568954View attachment 1568955View attachment 1568956View attachment 1568958View attachment 1568959View attachment 1568962View attachment 1568963
 
Sifa moja wapo ya wanachama wa ccm ni kuwa wastaarabu wewe huoni kama sio jambo la hekima kutaja matusi hadharani?
wacha wee... haya bana, but mwenyekiti wetu mbona huwaga anaongeaga matusi hadharani?
embu nikukumbushe hapa chini...
- mwanamke kupanuliwa
- barakoa ni kama sidiria za matiti
- wapenzi kufanyana bila kubusiana

sasa, taja 1 tu la mpinzani wetu Lissu!
 
Tamasha jingine hilo la muziki hata sisi wana CDM tuhudhurie huku tukihifadhi kura zetu kwa mwapinduzi Tundu Antipas Lissu.
Baada ya kushuhudia ya leo nimeamua kupiga kambi humu humu Chato ambapo kesho kuna burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii takribani 10 wakiongozwa na Harmonize, Juma Nature na Stamina wakinogesha kampeni za urais za CCM

Awamu hii wasanii zaidi ya 100 wamegawanyika maeneo mbali mbali ya Zanzibar na Tanganyika kwaajili ya kunogesha kampeni za CCM ambapo kwa jana pekee huko Tanga mgombea ubunge wa Tanga mjini kupitia CCM Ummy Mwalimu alikuwa na wasanii kumi akiwa mgombea ubunge wa kwanza kutia fora kwa lundo la wasanii.
View attachment 1568952View attachment 1568954View attachment 1568955View attachment 1568956View attachment 1568958View attachment 1568959View attachment 1568962View attachment 1568963
Chadema hadi wasanii imewakataa,vyombo vya habari haviwataki

Chadema magundu

Lugha chafu za lissu anatukana kila mtu kwa kujivunia uraia wa ubeligiji Ndio iliyoifikisha Chadema apo
Uchaguzi huu hatutatumia wasanii kufanya kampeni, tutatumia band yetu ya T.O.T. Hii ni kwasababu ya kupunguza matumizi ya fedha katika kampeni zetu CCM. - katibu Mkuu
Chama cha wananchi kinaonesha uchafuzi sahihi na matumizi mabaya ya fedha za walalahoi
CHADEMA hawafanyi matamasha ya fiesta
Siasa Hawaziwezi
Msajili Alitakiwa Haraka Sana Kukifuta Hiki Kinachotumia Wasanii. Kinatoa Hongo
Kumbe fiesta inatikisa Chato kesho.
Kwasababu chadema mmezoea matusi basi unataka kila mtu atukane. Matusi hayatajwi yanatukanwa
 
Chadema hadi wasanii imewakataa,vyombo vya habari haviwataki

Chadema magundu

Lugha chafu za lissu anatukana kila mtu kwa kujivunia uraia wa ubeligiji Ndio iliyoifikisha Chadema apo
Aliwatukana wasanii kuwa wakienda Ubelgiji wakiongea kiingereza, Lissu anajificha uvunguni kwa aibu.
 
Baada ya kushuhudia ya leo nimeamua kupiga kambi humu humu Chato ambapo kesho kuna burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii takribani 10 wakiongozwa na Harmonize, Juma Nature na Stamina wakinogesha kampeni za urais za CCM

Awamu hii wasanii zaidi ya 100 wamegawanyika maeneo mbali mbali ya Zanzibar na Tanganyika kwaajili ya kunogesha kampeni za CCM ambapo kwa jana pekee huko Tanga mgombea ubunge wa Tanga mjini kupitia CCM Ummy Mwalimu alikuwa na wasanii kumi akiwa mgombea ubunge wa kwanza kutia fora kwa lundo la wasanii.
View attachment 1568952View attachment 1568954View attachment 1568955View attachment 1568956View attachment 1568958View attachment 1568959View attachment 1568962View attachment 1568963
Yafaa tuujue uzalendo wao.
 
wacha wee... haya bana, but mwenyekiti wetu mbona huwaga anaongeaga matusi hadharani?
embu nikukumbushe hapa chini...
- mwanamke kupanuliwa
- barakoa ni kama sidiria za matiti
- wapenzi kufanyana bila kubusiana

sasa, taja 1 tu la mpinzani wetu Lissu!
Sasa kama hayo ni matusi basi neno matusi litakuwa limepoteza maana yake
 
Back
Top Bottom