Safari hii anaenda wakati kuna shule imeungua moto na watoto kadhaa wamepoteza maisha (RIP) na wengine kujeruhiwa vibaya (get well soon), je ataenda 'kuwananga' wana Kagera tena?Atawaeleza nini wana kagera???
Kawatukana, kala hela zao za tetemeko, kamtesa mtoto wao Kabendera hadi mama yake amefariki na mbaya zaidi hakumruhusu hata kwenda kumzika
Safi naona unaunga juhudi siku hizi.Kule atawaambia kuwa serikali haikuleta tetemeko. Yaani Kagera wakimpa kura Baba Jerry nitawashangaa sana tena sana.
Na si ajabu ukasikia kuna viongozi watakaowajibishwa. Pia kutoa amri/mchango wa kujenga shule haraka. Nina mashaka na Bw Yule.sera yake itakuwa shule kuungua
Burigi kuangalia wanyamaKwahiyo Leo atakuwa wapi?
Nenda kaishi Kenya mkuu kama unaona wanafaidi sana.Ushamba tu. Hapo Kenya tu kila chaguzi kuna presidential debate. Magu hawezi battle na
Lissu" kidude" kitazima
Tupo hapa tunamsubiri! Mwambieni aje kwa nidhamu!Jamaa anajiuliza aende au asiende [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Ametoa tena kwenye mkutano wake Jana.Magufuli hata salamu za rambirambi hajatoa. Mwenzake Tundu Lissu alitoa tangu jana yeye kapiga kimya tu
Naona upo mbagala unapiga porojo.. Haya, kachukue bk 7Eh!Eh!Eh!Eh! Yule Mzilankende anaenda tena huko? Na sasa mmeongeza maafa ya moto! Sijui wasanii wataendelea na burudani zao wakati kuna msiba? Je bila wasanii wananshomile watakuja kusikiliza vidonge vyao? Nadhani habari ya MV Victoria Hapa Kazi Tu itakuwa imewafuta machozi ya tetemeko, ukimwi, Katerero, mto ngono, vita ya kamera na huo moto wa shule ya Byamungu Islamic?!!?!? Poleni wana Kagera kuweni na moyo wa upendo na subira!
Magufuli akipata kura elfu moja tu Kagera akashukuru Mungu.Sizungumzii kampeni nazungumzia kwenda kwenye ziara za kikazi,na ata akienda Leo atapokelewa tu na watu wote muwe mnajaribu basi kufanya uchunguzi mitaani kuuliza wananchi nani watamchagua maana mitandaoni upotoshaji ni mwingi sana,nakushauli nenda vijiweni,masokoni,migahawani,kwenye bodaboda na mitaani kila eneo wahoji watu kwa siri angalau 10 kila eneo alafu utapata majibu,unaoona wamejaa kwenye mikutano hao ni wale wale tuliowazoea ambao wanamsemo wao 'BORA KUZALIWA ULAYA MBWA KULIKO AFRIKA BINADAMU" hivyo jipe home work ya muda mfupi alafu lete mlejesho.
Mbona haikutangazwa??Ametoa tena kwenye mkutano wake Jana.
Hawachelewagi watakuambia ni sababu za kiintelijensia.Ile kampeni ya mgombea Urais wa JMT kupitia CCM ndugu John Magufuli haitokuwepo leo.
Inasemekana kesho ndiyo ataelekea huko.
Ngoja aendelee kujishauri kwanza.Tupo hapa tunamsubiri! Mwambieni aje kwa nidhamu!
Kuahurishwa kampeni nyie [emoji23][emoji23]Wana Kagera sijui mna mkosi gani?
Tetemeko nyie,vita vya Kagera nyie,ukimwi nyie,Katerero nyie...alisikika mlevi mmoja huko kilabuni
Kwani yeye ndiye aliyeichoma moto shule hiyo? Kuchoma mchome nyie, kuikarabati mumwachie yeye?Mhe. Rais kwa vile unaenda Mkoa wa Kagera ingependeza kama ungewasaidia Tshs.50,000,000 (Millioni Hamsini) kuirudisha shule hiyo katika hali yake iliyokuwa nayo hapo awali. Nawasilisha.
Kagera ina wilaya zisizopungua 06 na kati ya hizo ccm uchukua 04 sasa nauliza kama mnazungumzia kauli yake ambayo iliwalenga wahanga wa tetemeko,vipi kuhusu shule iliyojengwa pale kutokana na pesa hizo itazalisha watu wasomi kiasi gani kulinganisha na kama wangepewa mkononi wakazitafuna,na ikumbukwe kwamba pesa walipewa lakini nyingi ziliangalia huduma muhimu,kifuta jasho,nitolee mfano wa nchi iliyolipa fidia kwa wananchi waliokumbana na majanga asili duniani.Magufuli akipata kura elfu moja tu Kagera akashukuru Mungu
Ile kampeni ya mgombea Urais wa JMT kupitia CCM ndugu John Magufuli haitokuwepo leo.
Inasemekana kesho ndiyo ataelekea huko.