Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Atawaeleza nini wana kagera???


Kawatukana, kala hela zao za tetemeko, kamtesa mtoto wao Kabendera hadi mama yake amefariki na mbaya zaidi hakumruhusu hata kwenda kumzika
Safari hii anaenda wakati kuna shule imeungua moto na watoto kadhaa wamepoteza maisha (RIP) na wengine kujeruhiwa vibaya (get well soon), je ataenda 'kuwananga' wana Kagera tena?
 
Naona upo mbagala unapiga porojo.. Haya, kachukue bk 7
 
Magufuli akipata kura elfu moja tu Kagera akashukuru Mungu.
 
Wenye chuki mnawasemea mioyo wahaya.

Mngejua wahaya wepesi kusamehe na kufocus na maendeleo ndio maana wengi ni wasomi,,,


Ukiishi nao karibu utajifunza mengi.
 
Mhe. Rais kwa vile unaenda Mkoa wa Kagera ingependeza kama ungewasaidia Tshs.50,000,000 (Millioni Hamsini) kuirudisha shule hiyo katika hali yake iliyokuwa nayo hapo awali. Nawasilisha.
Kwani yeye ndiye aliyeichoma moto shule hiyo? Kuchoma mchome nyie, kuikarabati mumwachie yeye?
 
Magufuli akipata kura elfu moja tu Kagera akashukuru Mungu
Kagera ina wilaya zisizopungua 06 na kati ya hizo ccm uchukua 04 sasa nauliza kama mnazungumzia kauli yake ambayo iliwalenga wahanga wa tetemeko,vipi kuhusu shule iliyojengwa pale kutokana na pesa hizo itazalisha watu wasomi kiasi gani kulinganisha na kama wangepewa mkononi wakazitafuna,na ikumbukwe kwamba pesa walipewa lakini nyingi ziliangalia huduma muhimu,kifuta jasho,nitolee mfano wa nchi iliyolipa fidia kwa wananchi waliokumbana na majanga asili duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…