Sizungumzii kampeni nazungumzia kwenda kwenye ziara za kikazi,na ata akienda Leo atapokelewa tu na watu wote muwe mnajaribu basi kufanya uchunguzi mitaani kuuliza wananchi nani watamchagua maana mitandaoni upotoshaji ni mwingi sana,nakushauli nenda vijiweni,masokoni,migahawani,kwenye bodaboda na mitaani kila eneo wahoji watu kwa siri angalau 10 kila eneo alafu utapata majibu,unaoona wamejaa kwenye mikutano hao ni wale wale tuliowazoea ambao wanamsemo wao 'BORA KUZALIWA ULAYA MBWA KULIKO AFRIKA BINADAMU" hivyo jipe home work ya muda mfupi alafu lete mlejesho.