Kwani fedha mlizokuwa mnawakata wabunge wenu mmepeleka wapi??wewe pimbi.
Kila mtu ana staili yake ya kupiga campein.
CCM wanatumia rasilimaliza Dola.
Upinzani unatoa fedha mifukoni mwao.
Huwezi linganisha kamwe.
CCm wanapiga campeni kama erikali wakiandamana na Protokali ya Polisi ,usalam wa taifa na jeshi la ulinzi.
Upinzania wanategemea mabaunsa, hawana hata mgambo, na pia figisu za Mapolisi zikiwa zina wasubiri njiani.
Inasikitisha Sana raisi kushauri utopolo wa aina hiihizi ndiyo sera za CCM 🤣 🤣 🤣
Kutokana na fikra za mwenyekiti wako uko sawa kabisaKuzaa watoto wengi pia Ni uzazi wa mpango
Tena kwa Kasi ya 4gumasikini unaendelea kuongezeka !
Huyo Salum Mwalimu nani anamjua akienda peke yake? Chadema wenyewe wengi hawamjui sehemu zingine akifika waweza mwita mwizi huyooo!!! Au Hadi waulize makao makuu kuwa huyu ndio Nani?Nashauri chadema nao pia wamuachie salum mwalimu baadhi ya sehemu aende akafanye kampeni mwenyewe
Not every competition is one to one function( hesabu ya form three)Nashauri chadema nao pia wamuachie salum mwalimu baadhi ya sehemu aende akafanye kampeni mwenyewe
Tatizo liko wapi?Hayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, na nukuu.
Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo.
Toa maoni je ni kweli kupanga uzazi hakuna maana kama wataalamu wanavyo shauri, hii siyo mara ya kwanza Magufuli kuwaambia watanzania kuwa zaeni, msipange uzazi.