Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Hayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu.

"Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo."

Toa maoni je ni kweli kupanga uzazi hakuna maana kama wataalamu wanavyo shauri, hii siyo mara ya kwanza Magufuli kuwaambia watanzania kuwa zaeni, msipange uzazi.
 
wewe pimbi.
Kila mtu ana staili yake ya kupiga campein.
CCM wanatumia rasilimaliza Dola.
Upinzani unatoa fedha mifukoni mwao.
Huwezi linganisha kamwe.
CCm wanapiga campeni kama erikali wakiandamana na Protokali ya Polisi ,usalam wa taifa na jeshi la ulinzi.
Upinzania wanategemea mabaunsa, hawana hata mgambo, na pia figisu za Mapolisi zikiwa zina wasubiri njiani.
Kwani fedha mlizokuwa mnawakata wabunge wenu mmepeleka wapi??
mtajijua na shida zenu sisi tupo #kazini
 
Sasa hizo ndio sera za CCM! Ni sera za kimaskini kabisa, serikali inahenya kutoa huduma za msingi za kijamii kwasababu ya population kubwa ya watu, alafu katikati ya shida zote hizo mtu anahamasisha watu wazaane kama panya na ndege wa porini!
 
Kwa hiyo taasisi ya UMATI imefungwa,watafute kazi nyingine?
 
Hayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, na nukuu.

Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo.

Toa maoni je ni kweli kupanga uzazi hakuna maana kama wataalamu wanavyo shauri, hii siyo mara ya kwanza Magufuli kuwaambia watanzania kuwa zaeni, msipange uzazi.
Tatizo liko wapi?
 
Back
Top Bottom