Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana mdomo mchafu sana yule mzee, hana hadhi ya kuwa hata mwenyekiti wa serikali ya mtaa achilia mbali kuwa rais wa nchi!Kuna mgombea huko kwenye kampeni, jana aliwaambia hivyo watu waliokuwa wanamuomba barabara. Hilo lilikuwa jibu mujarabu.
Siasa za mwaka huu ni burudani ya aina yake
Achaani upimbi mbuzi wa Lumumbaa hamna kipya nchi hii chini ya Meko zaidi Ya kuigawa Tz vipande vipande, ukabila, ifisadi, maauaji, umasikini kila kona roho mbaya sanaCCM kumekucha kampeni za nguvu zenye hoja za nguvu zenye ushahidi verifiable tukisema tumefanya hiki mwenye macho haambiwi tazama Kama ndege anaziona live,Kama hospital anaziona live ,Kama barabara anaziona live Kama elimu bure anaona live.kama Umeme Hadi vijijini anaona live
Ahadi za CCM sio hewa Kama za upinzani za Ohhh tukishika kila mtanzania atakula ubwabwa!!! Oh tutahakikisha kila mtanzania akitaka kuporomosha matusi anaporomosha atakavyo!!! Ahadi za kitapeli tapeli hewa!!!!
HahahahahhahLeo huku kwetu amesema, ninaongea na nyinyi lakini siku ya uchaguzi mnachagua wengine.
Sasa umejuaje kama amechanganyikiwa kama unashindwa kufatilia hotuba zake?Kusikiliza Hotuba ya Magufuli, unahitaji uvumilivu mkubwa Sana.
1.Akiwa hapa, anakwambia Maendeleo hayana Chama.
2. Akienda kule Anasema hakuna Maendeleo kwa sababu watu hawakuchagua CCM!
3. Akienda huku Anasema msinichanganyie. Ukichanganya betri na gunzi taa haiwaki
4. Akiwa kwingine analalamika Serikali ya Chadema kupandisha Umeme!
5. Akiwa kwingine anakwambia; hatukuwa hapa. Tumefanya makubwa.
Binafsi huwa sielewi Hotuba zake na nikiri hivi Sasa nashindwa kufuatilia Hotuba zake kwa sababu ananichanganya
Hahahaha, hii ni kweli kaisema?Leo huku kwetu amesema, ninaongea na nyinyi lakini siku ya uchaguzi mnachagua wengine.
Akiwa Kigoma leoHahahaha, hii ni kweli kaisema?