Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kama amejaza hivyo Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Kagera mpaka viwanja vikajaa na watu kubakia nje huku barabara zikiwa zimejaa, sipati picha hapa Dar.

Huu ndio kila kitu na wabunge wake watatu wote walihamia CCM kutoka CHADEMA kabla upinzani haujafa huku ukitoa taswira ya aibu siku Lissu alipozindua kampeni Mbagala na kuambulia vitoto vya shule.

Wakati tunazindua kampein zetu Jangwani mwaka 2015 watu walijaa sana ingawa kulikuwa na wingu la Lowassa kwa sasa sisi wanadar tunangoja kwa hamu kama vile wapentekosti wakimsubilia masia sisi ni zaidi nabii wetu wa maendeleo anakuja kutua Dar, mji utazizima kwa furaha sio bodaboda, mamantilie achilia mbali wasomi kama mimi.

Kwa mujibu wa uchunguzi wa umoja wa ulaya jpm anaonekana kukubalika sana Tanzania na mvuto wake hadi nje ya nchi .

Nangojea kuona tukio hili kubwa sana nadhani hata wewe msomaji unaomba usiku na mchana magufuri atue hapa

USSR
Ila nasikia huko mikoani kwa mtumishi wa umma kuto kuhudhuria kampeni za wagombea wa sisiem ni suala la kinidhamu.so ninaochokiona ni hiki wanaohudhuria huenda wanaogopa adhabu isijulikana ya utovu wa nidhamu.Ila hao wanohudhuria sasa kuna kitu watafanya independently kwenye sanduku la kura kwa sababu kule hakuna identity.
 
Vipi mmeshaandaa scania na fuso ngapi kubeba raia kutoka mikoa ya pembezoni?

Na vipi siku hiyo mtawapa off wanafunzi tuu ama kwa watumishi wote wa umma?
Unforgetable
Hapa sioni fuso ,naona punda tu
FB_IMG_1599830671397.jpg
FB_IMG_1599830661152.jpg
FB_IMG_1599830085585.jpg
 
Naam, malori ya mchanga na mabasi yakileta watu toka Moro, Pwani, Lindi, nk lazima wajae mjini. Na wafanyakazi wakilazimishwa kuhudhuria na shule zikafungwa ili watoto wa shule wawepo, lazima mji usimame.
Hawa ni fisi maji?,bila hii mbinu mngeumbuka mapema sana
FB_IMG_1599830661152.jpg
FB_IMG_1599830085585.jpg
FB_IMG_1599830671397.jpg
 
Hawa jamaa wanamatatizo sana hawajielewi kabisa
Yaan watu waend kuwaon wasanii waki perform nyimbo za kumsifia Jpm! Tumienbakili bas ! Yan mi niwe CDM kindakindaki, eti nikamuone zuchu anaimba akismsifia jpm! .Msitake kuforce kuwa jpm hapendwi!..
 
Milori na Mi fuso itakuwa na kazi kweli kweli ya kusombelea watu
 
Back
Top Bottom