Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wafanyakazi watakaokipigia kura Chama cha Zamani wana roho ngumu saaaaaaaana?CCM inanawachukulia wafanyakazi kama watumwa.
Kwa hiyo kawaambia mfunge vizazi vyenu?Hajatulazimisha kuzaana kwakua tuna maziwa ya kunyonyesha watoto na wanaume wa kutuzalisha wapo.
Kwahiyo mabaunsa na mgampo ndo wanaopiga kampeni? Angalia msafara tu wa CCM kama utaona gari hata moja la Serikali. CCM kinatumia rasilimali zake, nyinyi za kwenu zinaishia kwenye matumbo ya wachache.Kila mtu ana staili yake ya kupiga campein.
CCM wanatumia rasilimaliza Dola.
Upinzani unatoa fedha mifukoni mwao.
Huwezi linganisha kamwe.
CCm wanapiga campeni kama erikali wakiandamana na Protokali ya Polisi ,usalam wa taifa na jeshi la ulinzi.
Upinzania wanategemea mabaunsa, hawana hata mgambo, na pia figisu za Mapolisi zikiwa zina wasubiri njiani.
Wewe hata akikwambia ule mavi utauliza tatizo liko wapi!Tatizo liko wapi?
Huyo ndio Magufuli aisee. Askari wa ardhini.Safi Sana siku moja tu kapiga kampeni majimbo manne ya uchaguzi Bahi,Ikungi,Manyoni na Singida mjini speed nzuri
Usiwe mbinafsi, acha tuzaane!Umasikini unaendelea kuongezeka !
Kwani wewe ilikuwaje mpaka unakuja duniani au mzazi (mama) yalimkuta majanga!Yeye kwake anafikiria Watu wanafikiria na kufurahia ngono!
Kundi la ndegeKwani ccm kundi gani wamelipa kipaumbele sasa hivi ?
Tundu Lisu amemfanya nini Rais wa Ccm Magufuli, ameshaanza kutema boko mapema sana baada ya kugundua watu hawana uhitaji na mindege yake anayoinunua kwa madili.Hayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu..
Unamkataa mgombea wenu MagufuliDADEKI..[emoji23]
Nafikiri ni muda muafaka wa kumchagua rungwe ili tule ubwabwa huku kwenye kuzaa kidogo tupaache..[emoji28]