Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
JPM AKIWA KWENYE IKUNGI SINGIDA
•Tunataka Watoto wetu wasome bure na ndiyo maana siku zote nimekuwa nikisema zaeni•
•Hakuna kuzaa kwa mpango, matiti ya kunyonyesha Watoto tunayo, na maziwa tunayo, na Wanaume wapo,Wakinamama wapo na Shule wanasoma bure, Serikali ipo•
•Tunataka Watoto wetu wasome bure na ndiyo maana siku zote nimekuwa nikisema zaeni•
•Hakuna kuzaa kwa mpango, matiti ya kunyonyesha Watoto tunayo, na maziwa tunayo, na Wanaume wapo,Wakinamama wapo na Shule wanasoma bure, Serikali ipo•