n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Hatujawahi kushindwa tangu 1995.Isiyo kongwe, haivushi. Kwaheri Mbowe saccos.Sisi CCM hatushindwi
Hahaaa yaani wao wameajiriwa then wanataka Graduate wapewe elimu ya ujasiriamali wajiajiri, hiki ni kitukoView attachment 1582849
Kwa nini yeye asijiuzulu akajiajiri ili wengine wapate hiyo nafasi yake?Hahaaa yaani wao wameajiriwa then wanataka Graduate wapewe elimu ya ujasiriamali wajiajiri, hiki ni kitukoView attachment 1582849
Rubish, we need Educational reforms not propaganda za kijnga namna hiiHahaaa yaani wao wameajiriwa then wanataka Graduate wapewe elimu ya ujasiriamali wajiajiri, hiki ni kitukoView attachment 1582849
Mmh! Acha kujipa moyo, mgombea wenu anaumwa msongo wa .mawazo. Jana amefokea kila mtu pale Dodoma, kaonesha dalili ya kupaniki.Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yetu, tutaishi na kuyasimulia Matendo makubwa ya awamu ya tano. Kama ni kufa, jiongeze tu kamanda, maana Magufuli ni Tano tena.
Inafikirisha Sana. Hata anakotoka Chato watu hawamtaki.Uzuri hata Kanda ya ziwa upepo sio mzuri kwake.
Mzee wa visasiKwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa. Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzqni, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake ktk kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa. Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzqni, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake ktk kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Ohoo! Mnampoteza John hivo. Au wewe pia ndiyo wale wanaotuhumiwa na Bashiru kuwa mnamsaliti John?Manano ya kigogo tumeyazoea hata kwenye kanga yapo.
Kweli mkuu. This time tunajipigia kotekote. Hapa nawapiga kwa mpalange Lumumba tu.Rekebisha andiko lako, andika ikitokea ametangazwa. Hakushinda first term, atashindaje second term wakati watu wameisha pigika?
Mimi nitampigia kura sababu napenda maendeleo.Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa. Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzqni, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake ktk kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Asante kwa kujiunga na timu ya Uhuru, Haki na MaendeleoMimi nitampigia kura sababu napenda maendeleo.