Haiwezekani. Ndiyo maana unaona limegoma hata kupiga kampeni kwa siku tano. Linataka ushindi wa mezani, japo halitaupataLimeshashinda.
Uhuru ulishaletwa na TANU kwa Tanganyika na ASP kule Zanzibar ni uhuru gani unazungumzia?Asante kwa kujiunga na timu ya Uhuru, Haki na Maendeleo
Mtapoteana sana baada ya 28 oct humu chadomo!
Unajiabisha mkuu. Afrika Kusini ilipata Uhuru mwaka 1910. 1912 ANC ikaanzishwa ili kudai Uhuru tena. Jisomee mkuu, usidhani kuandika andika humu ndiyo kuelimika.Uhuru ulishaletwa na TANU kwa Tanganyika na ASP kule Zanzibar ni uhuru gani unazungumzia?
Shule ulienda kusomea ujinga?
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Akajibu ukiukaji wa taratibu mambo ya Camera na usalama barabarani ambao ni jukumu la traffic unahusikaje hapa?LISSU UKIENDA KWENYE HIYO TUME UWE MAKINI MNO MNO NA SUALA LA USALAMA WAKO. BARABARANI NDIO MZIDISHE UMAKINI, WAKATI WA KWENDA NA KURUDI. YULE MTU WA CAMERA ASISAHAULIKE.
**** kufa akishinda mtakufa kweli sababu amekwisha shinda.
Hali tete, wamepwelewa.Kama miaka hii mitano mlikuwa mnatamba kuwa upinzani umekufa, na ukweli ni kinyume chake, ndio itakuwa hiyo 28 oct?
"Kama watoto.wangu wangekuwa washamaliza chuo, Wallahi ningwachia ajira yake" Alini text mheshimiwa mmoja baada ya kutoka kwenye kikao pale DOM jana!Mmh! Acha kujipa moyo, mgombea wenu anaumwa msongo wa .mawazo. Jana amefokea kila mtu pale Dodoma, kaonesha dalili ya kupaniki.
Daah! Huyu mwanaharamu ametesa watu"Kama watoto.wangu wangekuwa washamaliza chuo, Wallahi ningwachia ajira yake" Alini text mheshimiwa mmoja baada ya kutoka kwenye kikao pale DOM jana!
Scenario zipo tofauti hapa hatuna minority rule na pia hatuna Boers acha kupotosha una uhuru wa kuropoka utakavyo na kuishi utakavyo.Unajiabisha mkuu. Afrika Kusini ilipata Uhuru mwaka 1910. 1912 ANC ikaanzishwa ili kudai Uhuru tena. Jisomee mkuu, usidhani kuandika andika humu ndiyo kuelimika.
Huko ndio CCM itapatia ushindi tena mkubwa.Tena ataanza na Kanda ya ziwa wamemuaibisha Sana lazima abomoe nyumba zao this time. Nusuru pekee ni kumkataa nchi nzima.
Watu wanatekwaScenario zipo tofauti hapa hatuna minority rule na pia hatuna Boers acha kupotosha una uhuru wa kuropoka utakavyo na kuishi utakavyo.
Acheni porojo Magufuli anatosha.
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Mmewazulumu nyavu zao mtaponea wapiHuko ndio CCM itapatia ushindi tena mkubwa.
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Unazungumzia mambo yanayoendelea nchi gani labda sielewi Mkuu?Watu wanatekwa
Watu wanapigwa risasi
Watu wanabomolewa nyumba zao
Wafanyabiashara wanaporwa fedha zao
Minority ni hao (CCM) boers wapo kasoro rangi tu.
,Kanda ya ziwa maeneo gani?Huko ndio CCM itapatia ushindi tena mkubwa.
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI