sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Mbona kusini haendiYuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kusini haendiYuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Magufuli kasema Kilimanjaro mmejichelewesha.Unajidanganya walahi. Hii kanda sio Sio kanda ya ziwa. Huku ni ulimwengu wa kwanza. Chezea kaskazini wewe?
Yuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Mbaguzi Sana anachukua Kodi za watu awapi maendeleoMagufuli kasema Kilimanjaro mmejichelewesha.
Hana majibuMbona kusini haendi
Mungu mbariki magufuli magufuli
Huo Mkoa wanamkenulia tuOperation ng'oa dalali wa mzungu.. Makamanda hizi picha zinawaumiza sana
Chekelea atabadili katiba ndo utakuja kulia LiaJPM TANO TENA........
Uzuri anapoteza muda katika Mkoa unaojielewa Kilimanjaro hawadanganyiki
Huwajui Wachagga wewe!!! Subiri siku ya kuhesabu kura utajua ni nani ana hali mbaya kati ya Magu na Lussu.Yuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Bora angeenda Mtwara na Lindi huko wanamchora tu. Atapewa za uso hataamini.Lingome linabomoka tofali kwa tofali.
Shauri yako.Bota angeenda Mtwara na Lindi huko wanamchora tu. Atapewa za uso hataamini.
Huko wanamchora. Awahi Lindi labda atapata za shemeji yake JKShauri yako.