Vipi mandege na Madaraja mbona hayawabebi tena wananchi wameona ya kawaida tu kwani hata mkolonii alijenga
Ndege tungeacha kwa private sector tukusanye kodi, investment iliyofanyika hatujui lini tuna break even, atleast tungenunua meli za mizigo mazao yetu yauzwe nje kwa faida ooops!!Hivi hii si ndio ile serikali inayotuzuia kuuza "mahindi" nje kwa bei nzuri?Usinifokee tafadhali! Wewe kama huna chakula ni uvivu wako!
Yani unataka kwa vile hupandi ndege basi zisinunuliwe mpaka uwe na uwezo wa kupanda?
Ujinga wa wapi huu
Jua literemke liwachome Wale (Wapinzani )-Mama samia
Vipi diamond alikuwepoNyie mkale za lissu alizopewa na Mabeberu ili auze Nchi
mkuu,ulishakuja DRC ? last time nakumbuka ulinambia unataka kuja au sio wewe
Nilikuambia baada ya kampeni Mkuu, sasa hivi ni tunaivuruga Tanzania huku tukiwa tumerelax
Kuwa Ccm raha sana huwezi kusikia matusi ni sera tu
Vipi diamond alikuwepo
Hahaha vituko hivi sasa, sayansi gani iko kwenye kampeni?mimi sio mshabiki wa chama chochote ila nafuatilia tu kampeni za vyama vyote jinsi wanavyo pambana kutafuta kura....
kura ni kampeni na kampeni ni mipango ya kisayansi ya kutafuta kura nyingi
Namuhurumia sana huyu mama (Cheupe kama amwitavyo magu) kwa kuwa makamu wa kipindi kimoja kisha kufurushwa kwenye makazi (mfano wa talaka) kwa makosa ambayo sio yake bali ya huyo bosi wake ambaye kwa sasa no kipindi kizuri cha kujisafisha lakini anamwaga upoloto mtupu.Jua literemke liwachome Wale (Wapinzani )-Mama samia
Kwa aliyeko uwanjani njoo hapa jukwaa la wasanii tufahamiane
Namuhurumia sana huyu mama (Cheupe kama amwitavyo magu) kwa kuwa makamu wa kipindi kimoja kisha kufurushwa kwenye makazi (mfano wa talaka) kwa makosa ambayo sio yake bali ya huyo bosi wake ambaye kwa sasa no kipindi kizuri cha kujisafisha lakini anamwaga upoloto mtupu.
Watu watakapokuwa wamechoka na nyimbo zilezile za Diamond, Kiba, Zuchu nk hakika atajibeba maana atakuta mikutano yake inahudhuriwa na viongozi wa ccm na vuvuzela watupuView attachment 1556560
Daah ningekuwepo hapo uwanjani ningekomaa mpaka nikuone Bia yetu.
Akiuza nchi ni sawa tu,kwani nyie mbona mlishaiuza nchi hii kwa mikataba yenu mibovu mliyoingia sehemu mbalimbali toka tulipopata Uhuru?Nyie mkale za lissu alizopewa na Mabeberu ili auze Nchi