Kwenye kutekeleza ilani msithubutu kuongeaala kumbe. basi sawa.
nilidhani "tumeweza tumeteleza" ndiyo chambo ya kura.
kweli nimeamini Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako!
Hujaelewa content ya jamaa..maana yake hao wasanii vijana wanaiounga ccm wanawakilisha kundi kubwa la vijana wanaioiunga ccm ila wamekosa platform ya kuonyesha namna wanavyoiunga sababu sio wasanii.. zaidi watapata nafasi kwenye box la kuraNashukuru kujua umeshakubali CCM kama chama cha siasa hakina tena mvuto Tanzania, kimeshachakaa, na hao vijana siku ya kupiga kura wote huchagua upinzani ndio maana kila wakati nyie mnaiba kura tu.
Yani mataga wamebananishwa kwenye kila angle na Lissu wako desperate hadi wanaona wasanii wa bongoflava kujaa kwenye majukwaa ya CCM ndiyo kete pekee ya ushindi wa CCM 🤣🤣🤣Mimi nilijua vijana wameona utendaji kazi wa JPM,kumbe unamaana wasanii ndio chambo ya vijana kumpigia kura!!😁😁😁
Mataga wenzako kwenye hili watapita tu bila kutia neno,unamuaibisha JPM!
Kweli wee jingalao ..watu wanaenda kuwashangaa wasanii ..na ndo maana mkutano wenu watoto wadogo ndo wengi mnoo ...mnalazimisha hadi shule zifungwe ili wahudhurie mikutano ya ccm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mvuto unaudefine vipi?
SurePoor analysis!!!!
Sio kete pekee nitaendelea kukuletea kete nyingi za ccmYani mataga wamebananishwa kwenye kila angle na Lissu wako desperate hadi wanaona wasanii wa bongoflava kujaa kwenye majukwaa ya CCM ndiyo kete pekee ya ushindi wa CCM 🤣🤣🤣
Tuonesheni watoto wanaohudhuria mikutano yenuKweli wee jingalao ..watu wanaenda kuwashangaa wasanii ..na ndo maana mkutano wenu watoto wadogo ndo wengi mnoo ...mnalazimisha hadi shule zifungwe ili wahudhurie mikutano ya ccm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1561004
Wanao pigiwa kura sio wasanii kumbuka hilo,na sera zinazwa uzwa kwa wapiga kura si za wasanii, wasanii wao wakisha tumbuiza na kuwafurahisha wananchi habari yao imeishia hapo.Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
Acha kujifariji tunaona hati ya kutepeta huku unatudanga labda wake wa but.Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
Angalia hiyo picha lkn angalia na hiiTuonesheni watoto wanaohudhuria mikutano yenu
Ohh masikini matagaSio kete pekee nitaendelea kukuletea kete nyingi za ccm
Umetumia vigezo gani?mnajifariji sanaTukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
wasanii wa nini sasa?Kwenye kutekeleza ilani msithubutu kuongea
Kwenda kumuona msanii sio kupiga kuraTukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
Huyo msamehe tu mkuu ..anaitwa jingalaoKwenda kumuona msanii sio kupiga kura
[emoji38][emoji38][emoji38] mbona hapo naona watoto au nimeona vibayaAngalia hiyo picha lkn angalia na hiiView attachment 1561009
Unahitaji wapiga kura waje kukusikilizaWanao pigiwa kura sio wasanii kumbuka hilo,na sera zinazwa uzwa kwa wapiga kura si za wasanii, wasanii wao wakisha tumbuiza na kuwafurahisha wananchi habari yao imeishia hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli wee jingalao ..watu wanaenda kuwashangaa wasanii ..na ndo maana mkutano wenu watoto wadogo ndo wengi mnoo ...mnalazimisha hadi shule zifungwe ili wahudhurie mikutano ya ccm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1561004
Kila mpenzi wa ubwabwa- kura kwa Sounds Rungwe, hakyanami spunda atachukuwa nchi. Nani hapendi ubweche?, nina uhakika na wewe utampaBring counter analysis