Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Hivi JPM ana watoto wangapi?Magufuli Yuko Sawa, ukiondoa hofu ya namna gani maisha yatakuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi JPM ana watoto wangapi?Magufuli Yuko Sawa, ukiondoa hofu ya namna gani maisha yatakuwa
Wasanii wa kuvutia watu hawajaanza kukata mauno, naomba pia mumuulize aliempiga risasi 16 kijana wenu Tundu Lissu yupo wapi. Cc YEHODAYA johnthebaptist
Leo Dkt. Magufuli, mgombea Urais kupitia chama cha mapinduzi yuko viwanja vya Bombadia vilivyopo manispaa ya Singida mkoani Singida kwenye kuendeleza ngwe yake ya kampeni. Leo ametokea mkoani Dodoma na alisimama vituo vitatu vidogo vya Bahi, Ikungi na Manyoni kabla hajafanya mkutano mkubwa wa kampeni mkoani Singida.
Kuwa nami kukujuza yanayojiri kutoka viwanja hivi vya Bombadia.
========
Kwani mavi yanakaa wapi je yakiamua kupitia mdomoni mwako utashindwa kutafuna!Wewe hata akikwambia ule mavi utauliza tatizo liko wapi!
Pole sana!
Kama waliosoma hadi level ya PHd ndio wana mawazo ya ajabu kama ya Magufuli, mimi ni bora nibaki na degree zangu mbili za ubanduaji maganda ya mawese.Nanyie wabongo acheni kulalamika mkiambiwa uzazi wa mpango mnasema Mara Freemason hao mara new world order! Mkiambiwa mzae napo mnalalamika sasa mnataka nini?
...mpango hasi wa uzazi!Kuzaa watoto wengi pia ni uzazi wa mpango.
Kwani amepangiwa kuzaa wangapi!Unamkataa mgombea wenu Magufuli
21Kwani amepangiwa kuzaa wangapi!
WE ULISIKIA WAPI?Hivi hakuna walioongezewa kimya kimya kweli?
21 mizinga ya heshima au!
Watoto na mama watakula madaraja na flyover na kunywa maji ya Sitigila GojiMama kwanza anahitaji chakula Bora ili aweze kunyonyesha. Au itabidi na hao watoto walishwe maziwa tu mpaka waozeshwe wake?
Tanzania ina Safar ndefu Sana ya wananchi wake kujitambua kama bado kuna watu wajinga kama wewe sijui CCM itaondoka Kwa njia ipi!!Kuzaa watoto wengi pia ni uzazi wa mpango.
Kundi la abiria wa ndege maana nasikia nyingine 5Kwani CCM kundi gani wamelipa kipaumbele sasa hivi ?
Umeona nauli yake lakini ?Kundi la abiria wa ndege maana nasikia nyingine 5
Alafu porini unakuta miti yote imekatwa! MPUMBAVU wewe!Mfanyakazi wa serikali,kuipigia CCM Kura ya ndiyo Ni sawa na kuchukua kamba nyumbani kwako na kuelekea porini ukajinyonge ili ufe.