Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Wakiwa jukwaani huwa wanaongea tu kinachowajia. Wanahisi hatufikirii.
 
Si alisema covid19 ikiisha waliojifungia watanunua vitu kwa bei kubwa toka kwetu?

Mbona Leo imeshukaa?
 
Akiwa Urambo JPM amewaonya watanzania kuwakataa wanaohubiri kuigawa nchi katika majimbo, sera hiyo ni hatari kwa mstakali wa umoja wa Taifa letu,amesema sera hiyo ni ubaguzi mtupu kwani majombo masikini yatabaki maskini.
Lakini yeye ni sawa kutugawa kikanda? Aache kutufanya wajinga.. Alipo sema hataendeleza baadhi ya mikoa kwa sababu hawaku mpa kura yeye alikuwa ana tekeleza mustakabali gani? Huyu baba kawehuka..
 
Lakini yeye ni sawa kutugawa kikanda? Aache kutufanya wajinga.. Alipo sema hataendeleza baadhi ya mikoa kwa sababu hawaku mpa kura yeye alikuwa ana tekeleza mustakabali gani? Huyu baba kawehuka..
Sio mikoa bali majimbo usimuwekee maneno mdomoni...
Hapo kwenye majimbo kuna kanda bongoman au?
 
[SUB]Kazi kweli kweli, wagombea wetu waongo sana. Kwahiyo Corona imegeuka kua mtaji wa wanasiasa?[/SUB]
 
Akiwa Urambo JPM amewaonya watanzania kuwakataa wanaohubiri kuigawa nchi katika majimbo, sera hiyo ni hatari kwa mstakali wa umoja wa Taifa letu,amesema sera hiyo ni ubaguzi mtupu kwani majombo masikini yatabaki maskini.
Hii ya kwake ya mikoa mbona imeshindwa kuondoa umaskini?
 
Lakini yeye ni sawa kutugawa kikanda? Aache kutufanya wajinga.. Alipo sema hataendeleza baadhi ya mikoa kwa sababu hawaku mpa kura yeye alikuwa ana tekeleza mustakabali gani? Huyu baba kawehuka..
Tena kavurugwa haswaa na misukule ya gwajiboy, atupishe muda tuliompa unatosha, ngoja tuwape wengine nao tuone watatufikisha wapi
 
Akiwa Urambo JPM amewaonya watanzania kuwakataa wanaohubiri kuigawa nchi katika majimbo, sera hiyo ni hatari kwa mstakali wa umoja wa Taifa letu,amesema sera hiyo ni ubaguzi mtupu kwani majombo masikini yatabaki maskini.
Kwanza atuambie anaelewaje anaposikia mfumo wa majimbo??? Anadhani ni majimbo haya ya uchaguzi au Majimbo ya kuunganisha mikoa anayomaanisha Tundu Antiphas Lissu???

Muulize pia kama mfumo wa sasa hauleti ubaguzi imekuwaje jimboni kwa ndalichako wanakunywa Maji ya tope wakati yeye ametumia hela za walipakodi kujenga kijijini kwake chato uwanja wa ndege wa kimataifa???


Muulize pia inakuwaje anasema Majimbo wanaochagua upinzani wasahau kupelekewa maendeleo akiwa Raisi??? Huo sio ubaguzi???
 
Akiwa Urambo JPM amewaonya watanzania kuwakataa wanaohubiri kuigawa nchi katika majimbo, sera hiyo ni hatari kwa mstakali wa umoja wa Taifa letu,amesema sera hiyo ni ubaguzi mtupu kwani majombo masikini yatabaki maskini.
Majimbo na mikoa vinatofautiana nini?
Sisi tunataka wote wanaoongoza wachaguliwe na wananchi. Siyo huu ujinga wa sasa!
 
Nimemsikiliza hajasema bei imeshuka ila kasema soko limekosekana kutokana na corona
 
Akiwa Urambo JPM amewaonya watanzania kuwakataa wanaohubiri kuigawa nchi katika majimbo, sera hiyo ni hatari kwa mstakali wa umoja wa Taifa letu,amesema sera hiyo ni ubaguzi mtupu kwani majombo masikini yatabaki maskini.
... hakuna eneo la Tanzania ambalo ni maskini kwa asili yake; ni sera mbovu ndizo zimepelekea umaskini wa kutisha kwa baadhi ya maeneo kama sio nchi nzima. Nchi hii ni tajiri kila mahali - watu wapo; ardhi ipo tele kila mahali! Changamoto iko kwenye SIASA SAFI na UONGOZI BORA - as simple as that!
 
Back
Top Bottom