balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Huwezi panda bas na ni lazima uende hata kama huna nsuli.Ray c akila penzi nono mwisho mwampamba yan enzi hizo namuona ndio mwanamke pekee ulimwenguni mzuri...eti leo teja! Maisha safari ndefu ulo nyuma usisimame endelea kuja wapo utakaowakuta na utakaowapita
2. Ilikuwa uzinduzi wa album ya 'ugali' diamond jubileeJamani kwa wale wapenzi wa muziki wa bongo flevaa hebu tujikumbushie matukio, bifu yaliyowahi kubamba miaka ya nyuma ENZI za bongo FLEVA kitambo hiko yaliyowahi kuhit.
1.moja kati ya matukio ilikuwa ni DUDUBAYA KUMPIGA MR.NICE NA KUMUUMIZA .
2.TUKIO LA WATU KULA UGALI KATIKA UZINDUZI wa albamu ya mtoto wa get I Kali diamond jubilee
3.bifu LA sister p na ZAY b KIPINDI WAKO kwenye chat.
4.Tukio LA east coast kupigwa mawe uwanja wa taifa na wahuni wa TEMEKE .
5.bifu LA wasanii wa Tmk na eastcoast
6.mwanadada sitta alivyonusurika kupigwa ENZI za uzinduzi wa albamu ya UGALI ya jumanature.
7.tukio LA wadada kubakwaa hii ilikuwa viwanja vya jagwani hii ilikuwa show ya buree ENZI za jk anafanya kampeni baada ya kundi LA Tmk WANAUME
8.tukio LA ali choki MZEE wa FARASI alipodondoka juu ya FARASI hadi akazimiaa katika show yake flani ivi.
9.BIFU YA ISPECTA NA JUMANATURE hii ilikuwa kitambo
10.TUKIO LA dully syskes kupigwa maweee hii ilikuwa fiesta 2002 na wahuni wa TEMEKE.
Haya jamani mnakumbuka nini lakini pia hebu ongeezeni matukio tujikumbushiee
Dah ray c ametoka mbali mnoo nakumbuka nilianza kumsikia akiwa presenter wa clous FM .
Badae nikajaga kumsikia anaimba
Akaja akijiita kiuno bila mfupaaa dah leo hii eti amekuwa tejaaa ni KWELI MAISHA safali ndefuu
Dah! naikumbuka hii jamani, alichomwa kisu cha tumboDaah kalapina alikuwaga mtata sana ila mwisho wa maneno ilikuwa dudubaya alivyompiga Mr.nice hadii akamvunja kiuonoo.
Bila kusahau kuna msanii kwa jina Steve to k alipigwagaaa kisu hadi kifoo sijui wangapi wanamkumbuka
Umekosea kidogo wakikuwa wanatoka kwenye fiesta moro wakielekea kwenye kuadhinisha miaka 25 ya ndoa ya wazazi wake na vivian pia ili complex kutambulishwaDaa complex na Vivian hawa walikuwa MTU na mpenzi walikufaga katika ajari wakitokea arushaa wakija dar .......
Amina chifupa huyu Dada yangu sitomsahau alikuwaga jirani yangu mikocheni b na pia alikuwa mtangazaji wa cluos FM kabla ya ubunge viti maalumu
Father G!?Yeah aisee lile kundi lao alikuwepo Steve k alikuwepo john mjema na spider man ,
Lakini mwisho wa Sikh Steve 2k aliuwawa alichomwaga kisuu alikuwa ugomvi yeye na meneja wakee badae john mjema nae alijiuwaa kwa kujichoma kisu kichwanii hili lilikuwa tukio LA kusisimuaaa bila kusahahauu.
Father g yule wa arusha yeye pia alichomwaga kisu akafaa kama unamfahamu alitoaga wimbo hii ni dhambi kwa mwenyezii ukienda YouTube utaukutaa.
Halafu ivi wimbo wa Mimi sio mwizi wa alikuwepo john mjema ivi naweza kuupata wapi
Bado yupo vizuri huwa naona anatupia picha kwenye page zakeDah mtoto sintaa kipindi kile alisumbua sana na ndio alikuwa top of the town sasa hivi atakuwa sjui yuko wapiii mrembo yulee,
Sio sasa hivi vijana wanazaliwa wanamjua wemaa tuu basii sinta ukiwauliza hawamjuiii
Watu washampotezea kabisa hwana attention nae tenaBado yupo vizuri huwa naona anatupia picha kwenye page zake
Aliibuka tena kwenye muzki na nyimbo flani hivi ya zook inaitwa pole na safariWatu washampotezea kabisa hwana attention nae tena
Aisee nalipata lilee song LA zouk limetulia kinomaa nomaa sana ebana Mkuu sintaa aliuza sanaAliibuka tena kwenye muzki na nyimbo flani hivi ya zook inaitwa pole na safari
Daa bila kusahau maisha club kuna walikujaga kufanya vurugu show ya diamondDiamond kuzomewa kwenye show ya fiesta 2014 na wahuni wa kariakoo
Ila mtoto bana Badoo analipaa aiseee sio siri dah Mimi nilijua kazeeka kumbe Bado yupo vizuli tuuWatu washampotezea kabisa hwana attention nae tena
Daa huyu mdada Mimi nimeanza kumfahamu nikiwa darasa LA tano enzi anaigiza na kina doctor cheniiii hadi anatoka na Juma naturee miaka ya 2000.Bado yupo vizuri huwa naona anatupia picha kwenye page zake
Ebana Mkuu sio father G , ALIKUWAGA X PLASTAZ WALE WA ARUSHA KUNA WIMBO YOTUBE NINI DHAMBI KWA MWENYEZI.Father G!?