Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,702
Naanza kwa kuwasalimu sana ndugu zangu wa hapa jf,
Hasa wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu,
Mimi umri umekwenda KIDOGO si kijana , lakin mafuatilia mpira wa miguu,
Leo nimeona bora tuanzishe Uzi wa kumuangalia bwana Mdogo neymar , Na kujiunga kwake PSG Na mafanikio yote anayopata,
Kujiunga PSG kwa neymar ni faida kwa wanamichezo Na wafuasi si kwa neymar TU,
1. Itaenda kumalizia ubabe wa Spain katika masuala ya mpira wa miguu,
2. Naona ubabe wa messi Na ronaldo ukifika kikomo, kwanza kwasababu ya umri wao, Na marginal diminishing returns, yaan wamechoka, wameshaonjja mafanikio ya kila kitu ( ispokuwa kombe la dunia) hivyo hawana utashi wa kujituma tena,
Lakin kwa neyma mi mchanga kwenye soka amahitaji kuyapata mafanikio kama ya wenzake,
KWA TAKWIMU ZA HARAKA UJIO WA NEYMAR PSG KUMEONGEZA MASHABIKI 7,000,000 KWA MAKADIRIO YA CHINI,
Kujiunga kwake si lazima aanze Na mafanikio ya CL, yaan UEFA, Anaweza anza Na ligi kuu, Na makombe mengine Na baadae akaweza kubeba ligi kuu,
Kwa BRAZIL NATIONAL TEAM WAKIFANIKIWA KUFIKA PAZURI NEXT WORLD CUP, ITAMSAIDIA PIA,
SASA TUKUTANE HAPA,
ANGALIA MECHI YA KWANZA YA NEYMAR AKIWA NA PSG,
Kikosi Cha psg
nationality.
No.PositionPlayer
1.GKKevin Trapp
2DFThiago Silva(captain)
3DFPresnel Kimpembe
4MFGrzegorz Krychowiak
5DFMarquinhos
6MFMarco Verratti
7MFLucas Moura
8MFThiago Motta (vice-captain)
9FWEdinson Cavani
10FWNeymar
11MFÁngel Di María
12DFThomas Meunier
14MFBlaise MatuidiNo.PositionPlayer
15FWGonçalo Guedes
16GKAlphonse Areola
17DFYuri Berchiche
18MFGiovani Lo Celso
19DFSerge Aurier
20DFLayvin Kurzawa
21MFHatem Ben Arfa
23MFJulian Draxler
24MFChristopher Nkunku
25MFAdrien Rabiot
27MFJavier Pastore
32DFDani Alves
Samuel
Hasa wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu,
Mimi umri umekwenda KIDOGO si kijana , lakin mafuatilia mpira wa miguu,
Leo nimeona bora tuanzishe Uzi wa kumuangalia bwana Mdogo neymar , Na kujiunga kwake PSG Na mafanikio yote anayopata,
Kujiunga PSG kwa neymar ni faida kwa wanamichezo Na wafuasi si kwa neymar TU,
1. Itaenda kumalizia ubabe wa Spain katika masuala ya mpira wa miguu,
2. Naona ubabe wa messi Na ronaldo ukifika kikomo, kwanza kwasababu ya umri wao, Na marginal diminishing returns, yaan wamechoka, wameshaonjja mafanikio ya kila kitu ( ispokuwa kombe la dunia) hivyo hawana utashi wa kujituma tena,
Lakin kwa neyma mi mchanga kwenye soka amahitaji kuyapata mafanikio kama ya wenzake,
KWA TAKWIMU ZA HARAKA UJIO WA NEYMAR PSG KUMEONGEZA MASHABIKI 7,000,000 KWA MAKADIRIO YA CHINI,
Kujiunga kwake si lazima aanze Na mafanikio ya CL, yaan UEFA, Anaweza anza Na ligi kuu, Na makombe mengine Na baadae akaweza kubeba ligi kuu,
Kwa BRAZIL NATIONAL TEAM WAKIFANIKIWA KUFIKA PAZURI NEXT WORLD CUP, ITAMSAIDIA PIA,
SASA TUKUTANE HAPA,
ANGALIA MECHI YA KWANZA YA NEYMAR AKIWA NA PSG,
Kikosi Cha psg
nationality.
No.PositionPlayer
1.GKKevin Trapp
2DFThiago Silva(captain)
3DFPresnel Kimpembe
4MFGrzegorz Krychowiak
5DFMarquinhos
6MFMarco Verratti
7MFLucas Moura
8MFThiago Motta (vice-captain)
9FWEdinson Cavani
10FWNeymar
11MFÁngel Di María
12DFThomas Meunier
14MFBlaise MatuidiNo.PositionPlayer
15FWGonçalo Guedes
16GKAlphonse Areola
17DFYuri Berchiche
18MFGiovani Lo Celso
19DFSerge Aurier
20DFLayvin Kurzawa
21MFHatem Ben Arfa
23MFJulian Draxler
24MFChristopher Nkunku
25MFAdrien Rabiot
27MFJavier Pastore
32DFDani Alves
Samuel