dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Ni mwendo wa cha juu tu hadi nyumba isiuzike.View attachment 1733518
Mbona bei sawa au huyu dalali wa JF kaedit post yake nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendo wa cha juu tu hadi nyumba isiuzike.View attachment 1733518
Soma ulichoandikaChato mukuu yangu kwanini wahuliza hivuo?
Mkuu nashukuru kwa kumi tagMjengo upo Kinyerezi Kifuru (njia ya kutokea Kinyerezi kwenda Mbezi mwisho)
Barabara ni ya lami
Mjengo una vyumba 5 vyote ni vikubwa na ni master rooms
Eneo lake ni sqm 1300 (kubwa sana)
Garden yake ni nzuri sana
Bei ni milioni 170 tu (170,000,000)
NB: Eneo limeshapimwa tayari hati bado haijatoka tunaishughulikia
mawasiliano 0677 818283
secret file View attachment 1733439
View attachment 1733371View attachment 1733373
View attachment 1733427
View attachment 1733428
karibu sana mrMkuu nashukuru kwa kumi tag
✔✔Nyumba Hii IPO KIJITONYAMA inauzwa Milioni 220 TU![]()
0677 818283![]()
![]()
Ina vyumba vitatu kimoja master![]()
Pia ina nyumba nyingine ya pembeni servant quarter ina chumba kimoja master![]()
Nyumba ipo mtaa mzuri na ina eneo kubwa - HATI IPO![]()
![]()
Wasiliana nasi kwa simu namba 0677 818283![]()
View attachment 1736467View attachment 1736468View attachment 1736469View attachment 1736470View attachment 1736471View attachment 1736472View attachment 1736473View attachment 1736474
mbona nimeweka beiiTangazo bila bei halinogi
Na bei za kupeana inbox zina tia uvivu na kuondoa imani
Maoni binafsi tuu
Meona boss✔✔✔mbona nimeweka beii
Mambo mama D, jamn huwa nakupenda kinomaaaMeona boss[emoji818][emoji818][emoji818]
Ndio boss... 😂 😂 😂 😂Je, ipo karibu na Mzena Hospital?
Ni vizuri tukafahamu.
Kuna kilichobadilika??...Naona umeutelekeza huu uzi ukaanzisha mwengine,
House4Sale - Wahi nyumba hii kali sana ipo Kijitonyama inauzwa na benki kwa bei ya kutupa
PUNGUZO LA BEI KUTOKA MILIONI 250 MPAKA MILIONI 220 (TOP TOP) nyumba ya kisasa ipo kijitonyama ina vyumba vitatu kimoja master pia ina nyumba nyingine ya pembeni servant quarter ina chumba kimoja master nyumba ipo mtaa mzuri na ina eneo kubwa HATI IPO bei ni milioni 250 220 Tu (wahi sasa)...www.jamiiforums.com