INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
Kimara mwisho njia ya kwenda bonyokwa.. km 2 kutoka kituo cha mwendo kasi kimara
 
🔥
Nyumba ina vyumba 11 vya kupangisha na fremu 3 za biashara

INAUZWA - Milioni 27 TU - IPO Kongowe ya Mbagala
☎
☎
0677 818283
🔥

✅
Vyumba 11 vina wapangaji
📌
Fremu 3 za biashara
📌
Bei ni milioni 27 tu (27,000,000/=) - FIXED /BEI YA KUUZIA HAINA MAZUNGUMZO
☎
☎
☎
Wasiliana nasi kwa simu namba 0677 818283
WAHI SASA PAKIKUCHA TU HUIKUTI

8fd27834-f1d4-4d86-8b13-9e24235f62a6.jpg
42c021b1-bf36-44e5-9ac3-bd33cdcd18c6.jpg
73b58143-b8e9-48f2-ab3c-8a74b72f38d4.jpg
5208dc1b-d4ee-4135-a7f3-9350fffeffbd.jpg
41668353-5ca5-4a88-8550-1064617ffec0.jpg
da1d6c42-54e7-4429-94c3-c81d68337df6.jpg
de33e735-85d4-47c4-84e0-5f38b3ff89f8.jpg
e78a04b5-a0cd-4564-b537-18ba080273ea.jpg
 
Waelezee chumba kimoja kwa mwezi bei gani? Fremu moja kwa mwezi bei gani? Wakijumlisha mapato ya mwezi watapata moyo kuwekeza.
 
Mjengo upo Kinyerezi Kifuru (njia ya kutokea Kinyerezi kwenda Mbezi mwisho)
Barabara ni ya lami
Mjengo una vyumba 4 viwili ni master rooms
Eneo lake ni sqm 900
Garden yake ni nzuri sana
Bei ni milioni 170 tu (170,000,000)
NB: Eneo limeshapimwa tayari hati bado haijatoka tunaishughulikia
mawasiliano 0677 818283

secret file
IMG-20210324-WA0009.jpg

WhatsApp Image 2021-03-24 at 16.30.13.jpeg
WhatsApp Image 2021-03-24 at 16.38.04.jpeg


 
Ebu funguka, kwanini unaiuza. Uondoe hii sintofahamu vichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna sintofaham yyte.. hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa.. kuna wakati naleta nyumba watu wanaishuku kwa bei kuwa ndogo.. siku nyingine naleta nyumba naambiwa mpigaji nimeweka bei juu..

Yaan sijawahi leta nyumba watu wakaridhika yaani ikawa bei standard
 
Back
Top Bottom