RealEstate Agent
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 244
- 321
- Thread starter
- #181
0677 818283
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjengo una tatizo gani mbona bei chee?
Ebu funguka, kwanini unaiuza. Uondoe hii sintofahamu vichwaniHamn tatzo lolote mkuu karibu sanaa
Oogh tununue tu ukitaka kuuriza haikai poa sana waweza kukuta kuna MTU kamushauri auze sasa huku nako tukitaka kuuriza kwanibu ahuze tunakua tunamuchanganya
Hamna sintofaham yyte.. hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa.. kuna wakati naleta nyumba watu wanaishuku kwa bei kuwa ndogo.. siku nyingine naleta nyumba naambiwa mpigaji nimeweka bei juu..
Oogh tununue tu ukitaka kuuriza haikai poa sana waweza kukuta kuna MTU kamushauri auze sasa huku nako tukitaka kuuriza kwanibu ahuze tunakua tunamuchanganya
Chato mukuu yangu kwanini wahuliza hivuo?Wewe ni raia wa nchi gani?
Chato mukuu yangu kwanini wahuliza hivuo?
SanaaaUmasikini mbaya sanaa[emoji26][emoji26]