Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Ndugu yangu , nyumba za kununua ni kimeo balaa.. hasa unapo nunua kwa mtu binafsi.
Kabla ya kununua unatakiwa uwe na mwena sheria mzoefu kwenye mambo ya real estate la sivyo utajikuta unanyumba ambayo huwezi itumia na huwezi hata kupata hati kwa jina lako.
Kabla ya kununua unatakiwa uwe na mwena sheria mzoefu kwenye mambo ya real estate la sivyo utajikuta unanyumba ambayo huwezi itumia na huwezi hata kupata hati kwa jina lako.